Albosignathus
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 4,886
- 1,038
mkuu, usimpleke dadaa kasi namna hiyo, muache ahudumiwe na doctor kwanza.
Mkuu, nachokiona ni kwamba hili swala mwisho wa siku litakuwa la kisheria zaidi,mimi kwa upeo wangu ninaona kuna uwezekano wa wewe kuwa responsible.
Japo siombei, lakini kama mimba ya huyu dada itaharibika unaweza kuwajibika kumlipa fidia, na adhabu nyingine ya/za ziada.
wapo wanasheria humu, watasaidia japo kwa level ya hapa jamvini.
Wewe umeona wapi Polisi akaogopa Polisi Mwenzake? umeona wapi wewe kesi ya paka na panya utampelekea mbwa? chezea MziziMkavu wewe utakuwa umekalia kuti kavu wewe utadondoka chini. Unaonaje umsaidie huyo bibie aende kunishitaki Polisi? Itakuwa vizuri zaidi unasemaje?watetea haki za binaadamu na akina mama, mko wapiiiiiiii
Mimi siwezi kwenda polisi, sababu simfahamu huyu dada, lakini kama kunatatizo, walah nakuambia, baba wa mtoto hawezi kukuelewa mkuu.
Wewe umeona wapi Polisi akaogopa Polisi Mwenzake? umeona wapi wewe kesi ya paka na panya utampelekea mbwa? chezea MziziMkavu wewe utakuwa umekalia kuti kavu wewe utadondoka chini. Unaonaje umsaidie huyo bibie aende kunishitaki Polisi? Itakuwa vizuri zaidi unasemaje?
DR, Ultrasound ndio kipimo kinachoweza kudetect kama mimba imeharibika au la? za siku lakini?
Yes, kwa mimba ya umri kama alioutaja wa miezi mitatu yaani wiki 12 ultrasound inatosha.
Nashukuru Mungu mi mzima. Ile ishu yako I hope iliisha salama.
Hakuna cha kumlaumu MziziMkavu kwa kuwa yeye husaidia kuweka masuala mengi ya afya na remedies nyingi. Kinachotakiwa kama una tatizo wasiliana na MziziMkavu privately akushauri. Kwa mfano mjamzito na anayenyonyosha kitu chochote cha tiba ni lazima umshirikishe dr kabla ya kula au kumeza. Anayefikiri Dr. MzimziMkavu alikosea kuweka huduma zake hapa JF bila hata malipo hana budi kukaa kimya milele.
kwa kuwa hajajibu baya mpaka sasa mimi nitamuombea kwa Mwenyeezi Mungu atamlinda na kuitunza mimba yake apate mtoto mwema hapo ndipo ulipotakiwa kusema sio tangu mwanzo ulikuwa unazungumza maneno ya Pumba. Ewe Mwenyeezi Mungu uliye pekee mlinde na mponyeshe mja wako.@kukuc Kama alivyokuwa anawaombea kuponya wagonjwa bwana Yesu Wafuasi wake Ameen.Mkuu, tumuombee kwanza huyu dada awe salama, na huyo dogo aendelee kukua huko tumboni.
Habari za wakati huu wapendwa....
Let me go straight to the point, nina ujauzito wa miezi 3,jana jioni nimetumia ile tiba ya MziziMkavu ya vitunguu swaumu ikiwa imechanganywa na maji vuguvugu kiasi cha kijiko 1 cha chakula,nilitumia nusu kitunguu kile chenye rangi ya dhambarau.
nimeamka asubuh nikaona matone kidogo ya damu kwenye pichu nilistaajabu kidogo,lakin mpaka wakati huu damu imeongezeka na nikama ya bleed,but sio nyekundu nikama ina dark hivi,ni light,haina harufu kali kama ya bleed,jion hii imezidi hadi nimevaa ped kwanamna inavoongezeka,inaweza kua miscariage?au tatizo gan?naomba msaada wa mawazo jamani nipo njia panda.
Regards
Kukucd
Kwa hiyo wewe umeona matatizo yangu tu? huyu dada hauoni kama na yeye yuko kwenye matatizo?Sangarara
MziziMkavu akitoa ya dawa hana hatia juu ya mtu aliyemfata aliyoandika. Huuo dada ilibidi aulize kama kweli alijua kuwa mimba ni kitu cha kuangaliwa kwa umakini au ange google.
Wengi wakati wa mimba hata simu tunapigianq na watu na ndugu kuuliza maswalo hata ya vitu kamq pain, symptons za ajabu tunajifunza.
Huyu dada anatatizo akasoma akafata ushauri au womo bila kutafakari sababu wengi hawajui mimba ni aq kutunzwa kama yai na inategemea na mtu na mpango wa Mungu na mwili wako.
Umekurupuka na unaonekana unapenda matatizo yawapate wengine sababu weye yako yamejaa hujui la kufanya.
Dx. Abortion . Umefanya abortion acha kujisafisha. Tunakusubir hapa Muhimbili tukunyooshe.
Mkuu, sheria zinasemaje lakini?Kwa maoni yangu Dr MziziMkavu huna kosa lolote hii dawa ambayo uliizungumzia haikuhusiana na wajawazito. Kilichobaki ni kumuombea mwenzetu ili ujauzito wake usiharibike na hili liwe fundisho kwa wanachama wote hapa kutotumia dawa waliyoifahamu kupitia JF au mtandao mwingine kupata ushauri wa kina kabla ya kuanza kutumia dawa hiyo/hizo.
Mkuu, nachokiona ni kwamba hili swala mwisho wa siku litakuwa la kisheria zaidi,mimi kwa upeo wangu ninaona kuna uwezekano wa wewe kuwa responsible.
Japo siombei, lakini kama mimba ya huyu dada itaharibika unaweza kuwajibika kumlipa fidia, na adhabu nyingine ya/za ziada.
wapo wanasheria humu, watasaidia japo kwa level ya hapa jamvini.