Jamani mimba yangu, msaada

Jamani mimba yangu, msaada

Status
Not open for further replies.
Tuko pamoja mkuu.
asante sana dada yangu kwa karipio. mimi ni daktari na ninaheshimu na kuthamini sana kazi yangu. lengo la ile comment yangu ilikuwa kutaka kujua kama huyu bwana aliyetoa huu ushauri wa vidonge anaelewa kweli anachoandika. maana hawa ndio watu wanaoshauri wenzao humu,, na watu wanafata ushauri na kudhurika. profession imeingiliwa, na inauma sana kuona wakati wengine wanajenga wengine wanajitahidi kubomoa. medical field is too broad,, and unless one is an expert then they should forever keep their comments to themselves. and,, there is what we call ''medical-legal'' implications,, unaweza kufungwa kwa kutoa publicly information either ambayo si sahihi ama haijitoshelezi na wasomaji ama watumiaji wako wakapata madhara. watanzania ni watu wa ajabu sana,, wanapenda urahisi hata kwenye mambo yanayowahusu personally and directly. hospitali haziko mbali sana siku hizi,, everyone shoulg go there for proper evaluation and work-up. ni hayo tu
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Inaweza ikawa threatened abortion ingawa daktari ndiye anayeweza kuthibitisha hilo.
 
Utaweza kumshitaki Polisi wa Usalama wa Taifa wewe ? haya nenda kokote kanishitaki mimi Mzizimkavu. Labda unishitaki hapa kwa Moderator sio kituo cha Polisi hawa polisi wa vituoni wanawajuwa Polisi wa Usalama wa Taifa ni akina nani nchini hapo? chezea Usalama wa Taifa utakwenda ndani bila ya kwenda Mahakamani.

Hakuna mtu ambae yupo juu ya sheria mkuu, Pinda anaweza kushitakiwa kwanini polisi ishindikane!!!
The point ni kuuliza kosa lako kwenye hili janga na si kwasababu upo serikalini then usiwe liable hata kama una kosa.
l do not mean kwamba una kosa...
 
Vitunguu Swaumu
Kuna mada za watu wawili MziziMkavu na mwingine sikumbuki jina lake hapa JF, katika mada zote ninavyokumbuka walitahadhalisha matumizi hayo kwa wenye mimba.

Nilijaribu kutumia hiyo dawa si kwamba nina matatizo ila tu kujisafisha my body system na pia mishipa ya damu ili iwe na kasi ya kutosha mwilini, ukweli sijawahi tumia dawa kali kama hiyo katika maisha yangu. Ukali wake vigumu kwa mimba changa kubakia tumboni, tujuavyo inaua minyoo moja kwa moja katika pigo moja tu kwa dakika chache.

Nadhani kwa wenye mimba bora wakatumia dawa za hospitali zenye kufuata maelekezo kwa hali zao. Vinginevyo vitunguu swaumu kwa mwenye mimba kubwa hatari pia kwa uhai wa mbeba mimba mwenyewe.

MziziMkavu hana kosa maana ushauri wake haukuwa moja kwa moja kwa mwathirika kama ilivyo kwa mengi tuyaonayo mitandaoni, na pia mwathirika hakuwa makini katika kujiridhisha kwa usalama wa kiumbe alichobeba.
 
Poor me!my baby is gone,thanks kwa mlionishauri,kila kitu kinatokea kwa sababu zake,sitaacha kuihukumu nafsi yangu kwa uzembe niliofanya!hili tukio limenipa somo kubwa sana,may her/his soul rest in peace.
Pole sana dada yangu, Kama ulivyosema kila kitu kina sababu basi huna budi kukubaliana nalo
 
pole kwa matatizo kukucd! mungu akupe nguvu name afya tele
 
Hakuna mtu ambae yupo juu ya sheria mkuu, Pinda anaweza kushitakiwa kwanini polisi ishindikane!!!
The point ni kuuliza kosa lako kwenye hili janga na si kwasababu upo serikalini then usiwe liable hata kama una kosa.
l do not mean kwamba una kosa...

Amenishangaza haya mambo ya usalama wa Taifa yanatoka wapi!! kwanza kwa Ethics zao si sawa kujitangaza.I hope alikuwa anatania
 
Fasta, Kamfungulie Mashtaka MziziMkavu. au MODS wampige ban hata ya miaka miwili:israel:
 
Hakuna mtu ambae yupo juu ya sheria mkuu, Pinda anaweza kushitakiwa kwanini polisi ishindikane!!!
The point ni kuuliza kosa lako kwenye hili janga na si kwasababu upo serikalini then usiwe liable hata kama una kosa.
l do not mean kwamba una kosa...
pinda+wapigeni+tu.jpg
 
Huyu dada aliyeyeandika mada hii na kumtaja MziziMkavu inabidi arudishe maneno yake au kuyaweka sawa kuwa si wewe umeeoma thread humu na sio wewe uliyeomba ushauri na kuwa una mimba na ndio ukaambiwa unywe hayo. Mzizimkavu achana nao wanaokusema hawaelewi.

Mie ni mmoja wa wanaotafuta info online kama wengi sie. Hili ni funzo kwa wengi sisi tumejifunza kuwa makini na kujua afya kama inaruhusu au la.
 
Last edited by a moderator:
Ooh!!!! Pole sana kukucd Mwenyezi Mungu awape nguvu na faraja wewe na wote wanaokuhusu katika kipindi hiki kigumu kwenu.

Poor me!my baby is gone,thanks kwa mlionishauri,kila kitu kinatokea kwa sababu zake,sitaacha kuihukumu nafsi yangu kwa uzembe niliofanya!hili tukio limenipa somo kubwa sana,may her/his soul rest in peace.
 
Last edited by a moderator:
Huyu dada aliyeyeandika mada hii na kumtaja MziziMkavu inabidi arudishe maneno yake au kuyaweka sawa kuwa si wewe umeeoma thread humu na sio wewe uliyeomba ushauri na kuwa una mimba na ndio ukaambiwa unywe hayo. Mzizimkavu achana nao wanaokusema hawaelewi.

Mie ni mmoja wa wanaotafuta info online kama wengi sie. Hili ni funzo kwa wengi sisi tumejifunza kuwa makini na kujua afya kama inaruhusu au la.
Asante dada yangu kwa ushauri wako mzurimie kuna watu humu ndani wananipiga vita kwa sababu ninawasaidia watu bure wengi wa watu humu ndani wanaonipiga vita ni Waganga wa kienyeji hawataki niwasaidie watu bure asante sana.
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom