NGARUKA
JF-Expert Member
- May 5, 2014
- 401
- 70
Jamani kama nilivyojitambulisha ni mgeni wa kujiunga JF lakini ni mtumiaji wa JF tangu 2010 nikiwa chuoni.
Naombeni mnipe sapoti hasa masuala ya Ujasiriamali,siasa,michezo na habari mchanganyiko.
Ni mwanachama wa CCM pamoja na Umoja wa Vijana wake lakini siungi mkono kitendo cha viongozi wa chama kuweka viongozi wao.
MWADELA Bhagosha
Naombeni mnipe sapoti hasa masuala ya Ujasiriamali,siasa,michezo na habari mchanganyiko.
Ni mwanachama wa CCM pamoja na Umoja wa Vijana wake lakini siungi mkono kitendo cha viongozi wa chama kuweka viongozi wao.
MWADELA Bhagosha