Jamani mke wangu amekiri alinisaliti!!

Yaani kwenu hakuna mwenye akili hata mmoja ndo maana mdogo wako hajui jibu na wewe boga kubwa la bure unatuletea humu. Namuhurumia huyo dada akizaa na mdogoako ataongeza Boga jingine Tz itazidi kuwa nyuma. Mlete huyo dada tumshauri sio nyie.

yaani wewe mwanamke nimeshindwa hata niseme nini! Hizo dharau zako wanazitoa wale wenzako wa facebook. Kwanza huna akili. Unajua maana ya MMU? Kuna wenzako humu wana upeo zaidi yako na wanaweza kumsaidia mdogo wangu. Ukweli UMENIKWAZA SANA .
 
ni kweli ndugu ila wazazi wa kijana wamekataa na wamemwambia binti kuwa wanamtambua yeye tuu na kama kijana atamuacha na kuoa binti mwingine atafute wazazi wake wapya na wala asikaribie kwao

kwani bado anaishi kwa wazazi? Je kilakitu anategemea wazazi? waambie wazazi wasikuzoee ktk maaumuzi yako, alivyokuwa unamtongoza wazazi walimsaidia? Fukuza huyo.
 
Duh, kuna vitu vinachekesha! Afu vinahuzunisha!
Hakuna ushauri hapo
Apime kina anachoweza kuzama aendelee.

kama yeye hajawai kumsaliti mke basi amwache lakini kama aliwahi, apime mwenyewe kama kamati ya mwakiembe ilivyomtaka apime uzito wa jambo
 
Re: Jamani mke wangu amekiri alinisaliti!!
sasa hapo anataka ushauri gani? au anataka aabiwe msamehe kitanda hakizai haramu? au unataka kusema unawapenda sana wazee wa huyo kicheche huwezi kuwakatalia japo kua mtoto wao kicheche? ebu jikaze kiume mwanamme anatakiwa awena mamuzi ya kiume....



tena maamuzi makini na sahihi asikae kama zuzu kama wazazi wake wanampenda huyo binti wamuoe wao na katika hili mungu atamsamehe​
 
kwani bado anaishi kwa wazazi? Je kilakitu anategemea wazazi? waambie wazazi wasikuzoee ktk maaumuzi yako, alivyokuwa unamtongoza wazazi walimsaidia? Fukuza huyo.

si unajua tena wazee wa kichaga wanapenda ubabe wa kijinga na wanadhamini sana vijikuu kuliko maisha ya mtoto
 
no ushauri apime mwenyewe then achukue hatua
 
Ameshazoea kuumizwa ndo maana anaomba ushauri kwa jambo ambalo angekuwa ameshaamua cku nyingi.

Amsamehe weendelee kulea binti wao lakini asishangae siku akiambiwa na huyo mtoto si wake.
 
tunaomba atueleze ni mke wake kwa vipi
1. alimtolea posa/mahali na kufunga naye harusi ya kimila au kanisani au msikitini au kwa mkuu wa wilaya

2. je hajawahi kuoa kabla ya mwanamke huyu

3. je huyu ni mke wa ngapi

akitujibu tutamshauri
 
Amsamehe tu waendelee na maisha!!

Amemsomesha, amempaduka, amemfilisi-hapo no issue. Lakini amehonga wanaume, maana yake ni kicheche-hapo ndo problem. Zaidi amemsaliti-atavumilia, ila kapata mtoto nje -wakati anamrudisha hakuseme ukweli. Kumbe huyu ana mme wake wa mwanzo ambaye wakikutana wanakumbushana ukiacha aliowahonga. kama ni mimi nampiga chini mara moja. ndugu na wazazi hawajui uchungu na utamu ulio moyoni mwangu juu ya mke kama huyu. Pigaaaaaaaaa chini. piga chini, piga chini. nasema piga chini.
 

aksante kwa ushauri lol.
 
tunaomba atueleze ni mke wake kwa vipi
1. alimtolea posa/mahali na kufunga naye harusi ya kimila au kanisani au msikitini au kwa mkuu wa wilaya

2. je hajawahi kuoa kabla ya mwanamke huyu

3. je huyu ni mke wa ngapi

akitujibu tutamshauri

mkuu no. 2 na 3 ungeangalia lp litoke maana sijaona tofauti ya izo sentensi
 

dah! Imekaa kama hadithi hadithi vile.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…