"Jamani mke wangu,huu ni ulafi!!...

1 wakorintho 7:3-4mume na ampe mkewe haki yake, vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki yake, mke hana amri juu ya mwili wake, bali mumewe, vivyo hivyo mume hana amri juu ya mwili wake, bali mkewe
 
1 wakorintho 7:3-4mume na ampe mkewe haki yake, vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki yake, mke hana amri juu ya mwili wake, bali mumewe, vivyo hivyo mume hana amri juu ya mwili wake, bali mkewe
 
JF mbona kwangu iko slow... yani kwenda second page inachukua ages, tena si leo tu wakati mtandao naotumia ni una read excellent. Ngoja ni log off maana humu naingia kwa kuibia (nina kazi kibao Lol.). Ila kama na wengine mna experience same problem labda wahusika wanaweza fanya something
 

Hii mambo ilinipa hasara sana jana!
 
1 wakorintho 7:3-4mume na ampe mkewe haki yake, vivyo hivyo mke na ampe mumewe haki yake, mke hana amri juu ya mwili wake, bali mumewe, vivyo hivyo mume hana amri juu ya mwili wake, bali mkewe

Unafikiri huu mstari unasaidia nini?
 
Si kweli la kwanza ni **** 2, na kama hali ni hiyo mama lazima alalamike maana wataalam wanasema wenzetu wanaanza KUJA kuanzia dakika 10 ya mchezo na kuendelea. So kama **** 2 tu wazungu hao, ipo kazi!
 
Kwa nini anamsimulia rafiki mambo kama hayo,na mume wako wa ndoa utamwambiaje
namba ataisoma,alimaanisha kuolewa au ili mradi tu,hata yeye inawezekana akawa sehemu ya tatizo na mwanaume anaamua kujifichia kwenye maandiko.
 
Mungu amuongoze na ampe nguvu za kufanya kazi aachane na mawazo potofu ayo
 

Mkuu Eiyer acha fix, waponda kokoto na Matumizi ya Internet tena kwenye Nyumba isiyo na Ceiling Board...
 
Last edited by a moderator:
hapo ndipo 'compatibility' inapokuwa muhimu... kama libido kati ya spouses inatofautiana sana, hapo tegemea matatizo
 
Mkuu Eiyer acha fix, waponda kokoto na Matumizi ya Internet tena kwenye Nyumba isiyo na Ceiling Board...

Kwani cha ajabu ni nini hapo?
 
Last edited by a moderator:
Tendo la ndoa ni kwa wale waliofunga ndoa, kanisani, msikitini au ndoa ya kimila, Ngono ni mwanaume au mwanamke kuduu na mtu amabaye hajafunga nae ndoa (uzinzi na uasherati ndo ngono)

Tendo la ndoa na ngono kuna tofauti gani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…