Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
JF mbona kwangu iko slow... yani kwenda second page inachukua ages, tena si leo tu wakati mtandao naotumia ni una read excellent. Ngoja ni log off maana humu naingia kwa kuibia (nina kazi kibao Lol.). Ila kama na wengine mna experience same problem labda wahusika wanaweza fanya something
. . . . Ilikua ni leo wakati nimerudi mapema baada ya kwenda kijiweni na kukuta leo hakuna kibarua cha kuponda kokoto,tajiri alikua hajapata tenda.Nikaja mpaka home na kujilaza kwa machungu nikijua siku ya leo itakua ngumu sana,si hakuna hela ya kula!Wakati nipo ndani wapangaji wenzangu walijua sipo,pembeni ya chumba ninachoishi nimepakana na jamaa mmoja ambae ameoa,muda ule jamaa hakuwepo,alikuwepo mkewe.Ndipo nikiwa ndani nilisikia yule mke wa jamaa aliepanga chumba kinachopakana na changu akipata mgeni.Mgeni yule alikua ni dada ambae baada ya kumsikia sauti nikamfahamu,nyumba tuliyopanga haina siling bodi hivyo nilisikia yote waliyoongea. . . . . . . . .Yule dada mgeni baada ya salam na story kidogo akamwambia mwenyeji wake,"Mwenzangu ndoa yangu inanishinda" mwenyeji akamwuliza,"kulikoni?"dada mgeni akajibu "Si unajua ndoa yangu na mume wangu mlokole inatimiza miezi sita kesho,mh,yaani mimi na mume wangu kila tukifanya mapenzi,akipiga bao moja tu hataki kurudia,nikimwambia sijatosheka ananiambia,mke wangu maandiko yanasema tuwe na kiasi,tukizidisha ni ulafi.Na imekua ndo kauli yake kila siku,mi nimechoka"!Yule mwenyeji alitoa mguno wa mshangao kisha akampa pole,walizungumza mengi ila mwisho yule mke wa mlokole alisema "nampa miezi 6 asipojirekebisha ataisoma namba"kisha nikasikia mlango unafunguliwa kukawa kimya. . . . , .Nikajiuliza;hivi na ushamba wangu kumbe box manyoya nayo inaliwa kwa kiasieeeee au nyie mnasemaje waungwana?
Tendo la ndoa na ngono kuna tofauti gani?