mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,778
- 7,145
Jama haya ni mamekapu tu ukiwa naye karibu ni sura ya kizee kabisa hata hivyo g.h aliivumilia sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inaonyesha jinsi gani wanawake tusivyopendana.watu watacomment hapa kuponda lakini ukikutanana nao live ni majanga
Nimegundua wanawake wengi especially wenye umri mdogo ( 20yrs-35yrs) huwachukia wenzao wenye mafanikio!
Huwaongelea vibaya wenzao hata kwa mambo ambayo yapo juu ya uwezo wa mwanadamu.....
Utasikia " ana sura mbaya,mweusi kama mkaa,hana shepu,mgumba,mwembamba kama kijiti,kichwa kikubwa,sura yakiume" na mengine mengi...
Sasa huwa najiuliza hivi wewe mwenye sura nzuri,shepu nzuri,mwenye kupata watoto na n.k lini ulimpa masharti Mungu kukuumba kama ulivyo?!
Binadamu tunajidanganyaga sana..... Hakuna mtu aliyempangia Muumba aumbwe kama alivyo.
...it is just "KOINSIDENSI" kuwa kama ulivyo hivyo huna haki yakumjadili mwenzako alivyo kimaumbile.....
Nitaelewa tukilaumiana kwa vitu vilivyochini ya uwezo wetu...kama utendaji kazi,kujishughulisha na nk
Mfano ukisema "Jide ni mvivu jamani,amekaa kula tu na kipiga umbea",hapo nitakuelewa ila sio jide anasura mbaya! Sasa alijiumba yeye?
-----★★★---------★★
Binafsi nampenda sana jide coz anaonyesha njia kwa watoto wakike kwamba ukijituma utafanikiwa bila hata kutegemea kuhongwa kama wasichana wengi waleo wanavyotegemea.
Jide ametunza heshima yake kiukweli na unaweza ukaiona tofauti ya Jide na watu kama Ray C waliojiona wazuri.......
--★★----★★--★★
Ushauri.
★-★
Wasichana mwangalieni jide kama mfano kwenu,acheni majungu na kumjaji jide vibaya.....
★UZURI UPO MOYONI KWA NJE MNAJIONGOPEA★.
Na kwa JIDE namwambia piga kazi kama kawaida yako,binadamu tuache tupige kelele tujifariji na umaskini wetu....
Usitushangae ni katika njia ya kujifariji na ugumu wa maisha ndo tunapokujadili jadili.★....
Nimegundua wanawake wengi especially wenye umri mdogo ( 20yrs-35yrs) huwachukia wenzao wenye mafanikio!
Huwaongelea vibaya wenzao hata kwa mambo ambayo yapo juu ya uwezo wa mwanadamu.....
Utasikia " ana sura mbaya,mweusi kama mkaa,hana shepu,mgumba,mwembamba kama kijiti,kichwa kikubwa,sura yakiume" na mengine mengi...
Sasa huwa najiuliza hivi wewe mwenye sura nzuri,shepu nzuri,mwenye kupata watoto na n.k lini ulimpa masharti Mungu kukuumba kama ulivyo?!
Binadamu tunajidanganyaga sana..... Hakuna mtu aliyempangia Muumba aumbwe kama alivyo.
...it is just "KOINSIDENSI" kuwa kama ulivyo hivyo huna haki yakumjadili mwenzako alivyo kimaumbile.....
Nitaelewa tukilaumiana kwa vitu vilivyochini ya uwezo wetu...kama utendaji kazi,kujishughulisha na nk
Mfano ukisema "Jide ni mvivu jamani,amekaa kula tu na kipiga umbea",hapo nitakuelewa ila sio jide anasura mbaya! Sasa alijiumba yeye?
-----★★★---------★★
Binafsi nampenda sana jide coz anaonyesha njia kwa watoto wakike kwamba ukijituma utafanikiwa bila hata kutegemea kuhongwa kama wasichana wengi waleo wanavyotegemea.
Jide ametunza heshima yake kiukweli na unaweza ukaiona tofauti ya Jide na watu kama Ray C waliojiona wazuri.......
--★★----★★--★★
Ushauri.
★-★
Wasichana mwangalieni jide kama mfano kwenu,acheni majungu na kumjaji jide vibaya.....
★UZURI UPO MOYONI KWA NJE MNAJIONGOPEA★.
Na kwa JIDE namwambia piga kazi kama kawaida yako,binadamu tuache tupige kelele tujifariji na umaskini wetu....
Usitushangae ni katika njia ya kujifariji na ugumu wa maisha ndo tunapokujadili jadili.★....
umri umeenda,saizi atafute wazee wenzie asibemende tena watoto wa umri wa Gardner....LEMUTUZ anamhusu
yule mariyoo mvivu kutafuta alikua anamzeesha
Nimegundua wanawake wengi especially wenye umri mdogo ( 20yrs-35yrs) huwachukia wenzao wenye mafanikio!
Huwaongelea vibaya wenzao hata kwa mambo ambayo yapo juu ya uwezo wa mwanadamu.....
Utasikia " ana sura mbaya,mweusi kama mkaa,hana shepu,mgumba,mwembamba kama kijiti,kichwa kikubwa,sura yakiume" na mengine mengi...
Sasa huwa najiuliza hivi wewe mwenye sura nzuri,shepu nzuri,mwenye kupata watoto na n.k lini ulimpa masharti Mungu kukuumba kama ulivyo?!
Binadamu tunajidanganyaga sana..... Hakuna mtu aliyempangia Muumba aumbwe kama alivyo.
...it is just "KOINSIDENSI" kuwa kama ulivyo hivyo huna haki yakumjadili mwenzako alivyo kimaumbile.....
Nitaelewa tukilaumiana kwa vitu vilivyochini ya uwezo wetu...kama utendaji kazi,kujishughulisha na nk
Mfano ukisema "Jide ni mvivu jamani,amekaa kula tu na kipiga umbea",hapo nitakuelewa ila sio jide anasura mbaya! Sasa alijiumba yeye?
-------★★★------------★★
Binafsi nampenda sana jide coz anaonyesha njia kwa watoto wakike kwamba ukijituma utafanikiwa bila hata kutegemea kuhongwa kama wasichana wengi waleo wanavyotegemea.
Jide ametunza heshima yake kiukweli na unaweza ukaiona tofauti ya Jide na watu kama Ray C waliojiona wazuri.......
-----★★------★★----★★
Ushauri.
★---★
Wasichana mwangalieni jide kama mfano kwenu,acheni majungu na kumjaji jide vibaya.....
★UZURI UPO MOYONI KWA NJE MNAJIONGOPEA★.
Na kwa JIDE namwambia piga kazi kama kawaida yako,binadamu tuache tupige kelele tujifariji na umaskini wetu....
Usitushangae ni katika njia ya kujifariji na ugumu wa maisha ndo tunapokujadili jadili.★....
wadada wanachukulia maisha kiurahisi sana. sijui hawawaoni wasanii wanaotegemea uzuri jinsi wanavyotapatapa mjini, umri unawatupa mkono na huku uzuri ukififia. jide hata angekuwaje, si wa kulinganishwa na wasanii wasiojitambua.
anyway... sidhani kama watakuelewa
wadada wanachukulia maisha kiurahisi sana. sijui hawawaoni wasanii wanaotegemea uzuri jinsi wanavyotapatapa mjini, umri unawatupa mkono na huku uzuri ukififia. jide hata angekuwaje, si wa kulinganishwa na wasanii wasiojitambua.
anyway... sidhani kama watakuelewa
muombe MUNGU wako
msamaha nna watoto wawili na nshapata miscourage mbili lakini simkashfu
asiyezaa pleasssss kuzaaa majaliwa jamani tusifikie hukkkoooo
Bila kusahau 360 inahusika.Yaani kupendeza ni mapoda yaliyorundikana usoni. Hii ni ajabu, yaani urembo wa kulazimisha ndo kapendeza. Ajab ya mwaka!
donestic violance hapana naipinga kwa nguvu zote goooooooo Jibe mbna umekaa kimya mpaka kidole kimepona?