Quinton Canosa
JF-Expert Member
- Nov 2, 2012
- 1,224
- 1,250
Habari zenu wanajamii forum
Ngoja na mm leo niombe ushauri.Kuna binti mmoja nipo naye kwenye mahusiano kuanzia 2013 yeye yupo Dar na mm nipo mkoa moja kaskazini mwa Tanzania.Sasa tatizo langu huyu binti hayupo kabisa moyoni mwangu japokuwa yeye anaonyesaha ananipenda sana mpaka anajua kwamba nitamuoa lakini niseme ukweli mimi hayupo kabisa moyoni mwangu japokuwa namfahamu hadi mama yake mzazi na yeye ameweka karibu asilimia 90 anajua mm ni mtu wake,lakini moyo wangu unakataa jamani kwani nilikuwa namtamani tu,lakini yeye ananiambia ananisubiri nimalize ishu zangu za kutafuta maisha.Kiukweli anajali lakini tatizo moyo wangu unakataa maana mwili unamtamani lakini akili inakataa kuwa mwenza wangu wa maisha.Jamani moyo wa mtu ni kiza kinene.Naombeni ushauri nifanyeje ili nimpoteze mawazo yake ya kuishi na mimi japo nataka aishi na mimi kama rafiki yangu ila sio mke wangu.
Nawasilisha
Ngoja na mm leo niombe ushauri.Kuna binti mmoja nipo naye kwenye mahusiano kuanzia 2013 yeye yupo Dar na mm nipo mkoa moja kaskazini mwa Tanzania.Sasa tatizo langu huyu binti hayupo kabisa moyoni mwangu japokuwa yeye anaonyesaha ananipenda sana mpaka anajua kwamba nitamuoa lakini niseme ukweli mimi hayupo kabisa moyoni mwangu japokuwa namfahamu hadi mama yake mzazi na yeye ameweka karibu asilimia 90 anajua mm ni mtu wake,lakini moyo wangu unakataa jamani kwani nilikuwa namtamani tu,lakini yeye ananiambia ananisubiri nimalize ishu zangu za kutafuta maisha.Kiukweli anajali lakini tatizo moyo wangu unakataa maana mwili unamtamani lakini akili inakataa kuwa mwenza wangu wa maisha.Jamani moyo wa mtu ni kiza kinene.Naombeni ushauri nifanyeje ili nimpoteze mawazo yake ya kuishi na mimi japo nataka aishi na mimi kama rafiki yangu ila sio mke wangu.
Nawasilisha