Jamani mshahara wa May 22 vipi

Mama amesafiri akasahau kutia mkwaju hazina iachie ujira...๐Ÿคช
 
Kumbe naye ni mccm tu
Achร  matusi hayo. Nilizaliwa kabla ya TANU na sikujiunga nayo ingawa nili support harakati zake za uhuru. then ikaja CCM , nikaikataa maana policy za Nyerere sikuzipenda na mpร ka leo maana sioni la maana. After all Uhuru ungelikuja since we were a protectorate under British guardianship
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ