Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kelele zote kuitukana serikali na chamaKumbe we nawe ni mtumishi wa serikali? Heh!!!!!;
Kumbe naye ni mccm tuKelele zote kuitukana serikali na chama
Ndio sababu ametoa tahadhari kabisa kwamba "matusi yote atayajibu"...😜Kelele zote kuitukana serikali na chama
😀😀😀
Nani kakwambia, I am sure nilistaafu hujaliwa.Kumbe we nawe ni mtumishi wa serikali? Heh!!!!!;
Serikali katili lazima isemwa, Hakuna anayeitukana, Bali tunaisema na maovu yake.Kelele zote kuitukana serikali na chama
Achà matusi hayo. Nilizaliwa kabla ya TANU na sikujiunga nayo ingawa nili support harakati zake za uhuru. then ikaja CCM , nikaikataa maana policy za Nyerere sikuzipenda na mpàka leo maana sioni la maana. After all Uhuru ungelikuja since we were a protectorate under British guardianshipKumbe naye ni mccm tu
Na kweli najaribu kuyajibu.Ndio sababu ametoa tahadhari kabisa kwamba "matusi yote atayajibu"...[emoji12]