Jamani Mungu anawaona kwa mnayowafanyia kondoo hawa!

Jamani Mungu anawaona kwa mnayowafanyia kondoo hawa!

Inasikitisha sana kwakeli yani baadhi ya wachungaji wanawaaminisha wanatibu vvu na kuwafanya watu wanaacha dawa hatimaye kufa. Lakini pia niwape kisa kingine nje na hapo juu.

Kwanza nikiri wapo wachungaji wachache wenye karama ya uponyaji, wengine wapiga dili tu.Kisa cha kweli ila sitataja jina la mhanga wala jina la kanisa ila ni kanisa la kilokole pale songea tanga mwenye jina linalofanana na chaji.Wagonjwa wengi waendao kwa mara ya kwanza wanaagizwa wabebe 30000.

Halafu baada ya kukaa naye mezani na kuona tatizo la mhusika akamwambia wewe na mwenzako leteni 200000 wakatowa wale waumini wagonjwa akawa anawaombea mwezi mzima wakiwa wanakaa hapo eneo la ibada hawakupona hatimaye wakaaga kuondoka.

Mchungaji akawambia ataenda nyumbani kwao kutoa madudu yaliyopo pale nyumbani,wahusika walipofika nyumbani wakampigia unakuja lini mchungaji akawambia tuma ela ya mafuta ya gari ikatumwa 50000.Sasa toka hapo walipotuma wakimkumbusha aende anawapa kalenda mwisho wa siku anakuwa mkali na kusema hawezi kwenda kwajili yao labda wao wagonjwa waumini waende tena kanisani.

Wachungaji wa namna hii wanawaharibia cv wenzao na kujipatia kipato na c huduma.Ifike wakati serikali iyachunguze makanisa yote yanayomilikiwa na watu binafsi kuanzia kiutendaji na akaunti zao ili walipe kodi.
Pole sana mkuu
 
Unavyokataa kumtaja maana yake unabariki matendo yake Kwa kukataa kumtaja.

Kama habari Yako ni ya kweli unaogopa Nini kumtaja Sasa
Atakatazwa kuingia kanisani,huyo ni muumini wake na huenda nae aliyozwa🏃
 
Vyote hata Biblia matapeli wako kila sehemu zisipotumika vibaya!

Qur'an na biblia ni vitabu viwili tofauti, narudia tena, QUR'AN itabakia kuwa QUR'AN, QUR'AN ni tiba, QUR'AN ndio kila kitu. Tena msifananishe QUR'AN na vitabu vingine. Ni hayo mkuu Kimwakaleli

Kwema huko babaa?
 
Inasikitisha sana kwakeli yani baadhi ya wachungaji wanawaaminisha wanatibu vvu na kuwafanya watu wanaacha dawa hatimaye kufa. Lakini pia niwape kisa kingine nje na hapo juu.

Kwanza nikiri wapo wachungaji wachache wenye karama ya uponyaji, wengine wapiga dili tu.Kisa cha kweli ila sitataja jina la mhanga wala jina la kanisa ila ni kanisa la kilokole pale songea tanga mwenye jina linalofanana na chaji.Wagonjwa wengi waendao kwa mara ya kwanza wanaagizwa wabebe 30000.

Halafu baada ya kukaa naye mezani na kuona tatizo la mhusika akamwambia wewe na mwenzako leteni 200000 wakatowa wale waumini wagonjwa akawa anawaombea mwezi mzima wakiwa wanakaa hapo eneo la ibada hawakupona hatimaye wakaaga kuondoka.

Mchungaji akawambia ataenda nyumbani kwao kutoa madudu yaliyopo pale nyumbani,wahusika walipofika nyumbani wakampigia unakuja lini mchungaji akawambia tuma ela ya mafuta ya gari ikatumwa 50000.Sasa toka hapo walipotuma wakimkumbusha aende anawapa kalenda mwisho wa siku anakuwa mkali na kusema hawezi kwenda kwajili yao labda wao wagonjwa waumini waende tena kanisani.

Wachungaji wa namna hii wanawaharibia cv wenzao na kujipatia kipato na c huduma.Ifike wakati serikali iyachunguze makanisa yote yanayomilikiwa na watu binafsi kuanzia kiutendaji na akaunti zao ili walipe kodi.
Inasikitisha sana kwakeli yani baadhi ya wachungaji wanawaaminisha wanatibu vvu na kuwafanya watu wanaacha dawa hatimaye kufa. Lakini pia niwape kisa kingine nje na hapo juu.

Kwanza nikiri wapo wachungaji wachache wenye karama ya uponyaji, wengine wapiga dili tu.Kisa cha kweli ila sitataja jina la mhanga wala jina la kanisa ila ni kanisa la kilokole pale songea tanga mwenye jina linalofanana na chaji.Wagonjwa wengi waendao kwa mara ya kwanza wanaagizwa wabebe 30000.

Halafu baada ya kukaa naye mezani na kuona tatizo la mhusika akamwambia wewe na mwenzako leteni 200000 wakatowa wale waumini wagonjwa akawa anawaombea mwezi mzima wakiwa wanakaa hapo eneo la ibada hawakupona hatimaye wakaaga kuondoka.

Mchungaji akawambia ataenda nyumbani kwao kutoa madudu yaliyopo pale nyumbani,wahusika walipofika nyumbani wakampigia unakuja lini mchungaji akawambia tuma ela ya mafuta ya gari ikatumwa 50000.Sasa toka hapo walipotuma wakimkumbusha aende anawapa kalenda mwisho wa siku anakuwa mkali na kusema hawezi kwenda kwajili yao labda wao wagonjwa waumini waende tena kanisani.

Wachungaji wa namna hii wanawaharibia cv wenzao na kujipatia kipato na c huduma.Ifike wakati serikali iyachunguze makanisa yote yanayomilikiwa na watu binafsi kuanzia kiutendaji na akaunti zao ili walipe kodi.
Nani huyo
 
Wajinga ndio wapigwao.
Haya makanisa ya kisasa yanchota akili za waumini na kuwafanya msukule kabisa. Gwajima alionekana kwenye clip anajirikodi huku anafanya zinaa lakini bado waumini wake walibisha na kusema siyo yeye!
 
Inasikitisha sana kwakeli yani baadhi ya wachungaji wanawaaminisha wanatibu vvu na kuwafanya watu wanaacha dawa hatimaye kufa. Lakini pia niwape kisa kingine nje na hapo juu.

Kwanza nikiri wapo wachungaji wachache wenye karama ya uponyaji, wengine wapiga dili tu.Kisa cha kweli ila sitataja jina la mhanga wala jina la kanisa ila ni kanisa la kilokole pale songea tanga mwenye jina linalofanana na chaji.Wagonjwa wengi waendao kwa mara ya kwanza wanaagizwa wabebe 30000.

Halafu baada ya kukaa naye mezani na kuona tatizo la mhusika akamwambia wewe na mwenzako leteni 200000 wakatowa wale waumini wagonjwa akawa anawaombea mwezi mzima wakiwa wanakaa hapo eneo la ibada hawakupona hatimaye wakaaga kuondoka.

Mchungaji akawambia ataenda nyumbani kwao kutoa madudu yaliyopo pale nyumbani,wahusika walipofika nyumbani wakampigia unakuja lini mchungaji akawambia tuma ela ya mafuta ya gari ikatumwa 50000.Sasa toka hapo walipotuma wakimkumbusha aende anawapa kalenda mwisho wa siku anakuwa mkali na kusema hawezi kwenda kwajili yao labda wao wagonjwa waumini waende tena kanisani.

Wachungaji wa namna hii wanawaharibia cv wenzao na kujipatia kipato na si huduma.Ifike wakati serikali iyachunguze makanisa yote yanayomilikiwa na watu binafsi kuanzia kiutendaji na akaunti zao ili walipe kodi.
Watu wanaojiita "walokole"sijawahi kuwaamini kabisa,Sina Nia ya kukejeri imani ya watu,ila Hawa "wapendwa"ni baadhi yao ni nyoko kabisa,wabaguzi,much know nyingi,Elimu Duni basi wao kila kitu ni kumeza tu,na kila Swala linatatuliwa na miujiza!!
 
Back
Top Bottom