Jamani muwe serious basi

Hahaha kwa kweli watu wanakojoleana sana kama wametoka mirembe ila ndo hivyo inabidi ujiepushe nao tu
Kujiepusha nao pia ni somo ambalo unasoma na degree unapata kabisa kule SAUT ila kuhusu soon naingia dasalam mkuu ntakula wa kutosha πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…