Pendaelli
JF-Expert Member
- Feb 13, 2014
- 11,050
- 31,412
Toa mke na hawara mwanaume furaha yake hukamilika anapokuwa sehemu ya kumrembesha mwanamke na kumfanaya awe na furaha.Mkeo na hawara how much unawapa per month
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Toa mke na hawara mwanaume furaha yake hukamilika anapokuwa sehemu ya kumrembesha mwanamke na kumfanaya awe na furaha.Mkeo na hawara how much unawapa per month
Field sijapata nimetafuta wee mpaka basi sasa nitafanya nn mkuu 😂😂😂We dogo tumia akili!
Mzee soma iyo Post ake utuambie umeelewa nnni nini tena SweetyCandy usiku huu
Am warmly waitingAIsee sawa
Naona Somo limeelewekani nini tena SweetyCandy usiku huu
Kumbe kibungo!Humu wengi wanachekesha, jameni mjue kuwa nyie hampo serious kweli mnaamini picha za avatar. Haya basi kama mnataka mtu awe utakavyo siunagharamia sasa mtu kafikia alipofikia ubashangaa what niwewe ,?? Eh kwani nimegharamiwa ili nipendeze what if naona mi nilivyo nipo sawa.
Hi sio facebook unaweka real life . Hii ni jamii forum unaweka picha uipendayo na sio wewe ni umeipata tu huko so msi kariri maisha.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂Kumbe kibungo!
Hatari mkuu,,huyo avatar niwewe?Noma sana
ndio nafanya practice 😂😂Naona Somo limeeleweka
😂😂😂
Naona umekuwa kama raraa reree na wew ili uanzishiwe Mada ni mwendo wa kulike tu eti eeh😂😂
Hahahaha 😂😂😂😂
Naona umekuwa kama raraa reree na wew ili uanzishiwe Mada ni mwendo wa kulike tu eti eeh😂😂
Bas inatosha kijana🤣ndio nafanya practice 😂😂
Hahahaha 😂Nyamwi255 siuolewe tu na raraa reree mnaboa kwa like
kivumbi leo 😂😂😂Bas inatosha kijana🤣
Unaenda kuwaambia nn chuoni?Field sijapata nimetafuta wee mpaka basi sasa nitafanya nn mkuu 😂😂😂