Jamani muwe serious basi

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Wanazingua mkuu
 
😹😹😹 hampendi amani, yani jina la dada yako linaharibiwa umetulia tu.!
Dada tena...
Mi dada zangu wote nawajua...

Mambo ya kulazimishana kuitana dada nao huo ni uchawi mkuu πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Mashoga hawo ukilikutaniza linyandue tu maana yashakuwa mengiπŸ‘ΆπŸ§­
 
Umeanza lini kunikosea heshima??
Ngoja nimuite wizo akufunze 😹😹😹
Mmmmmh kwani weee ni momyla au ....
Jamn kama niweww nisamehe sasa unaposema umuite wizo ni kama unataka nikimbie uzi plzzzzz sirudii tena πŸ™ πŸ™ πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…