Jamani muwe serious basi

Jamani muwe serious basi

Mi yaliwahi nikuta makubwa mkuu acha tui nishasimulia vya kutosha...

Kuna watu wana id za kike ila kiuhalisia ni wa kiume na kule love connection wapo wanatafuta wanaume """NATAFUTA MUME AWE DINI YOYOTE"""
Ukienda DM anakuchatisha kibabe unajua mmmh huyu dume kabisa mwenyewe unajiengua kmmk
๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
Wanazingua mkuu
 
๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น hampendi amani, yani jina la dada yako linaharibiwa umetulia tu.!
Dada tena...
Mi dada zangu wote nawajua...

Mambo ya kulazimishana kuitana dada nao huo ni uchawi mkuu ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Mi yaliwahi nikuta makubwa mkuu acha tui nishasimulia vya kutosha...

Kuna watu wana id za kike ila kiuhalisia ni wa kiume na kule love connection wapo wanatafuta wanaume """NATAFUTA MUME AWE DINI YOYOTE"""
Ukienda DM anakuchatisha kibabe unajua mmmh huyu dume kabisa mwenyewe unajiengua kmmk
Mashoga hawo ukilikutaniza linyandue tu maana yashakuwa mengi๐Ÿ‘ถ๐Ÿงญ
 
Umeanza lini kunikosea heshima??
Ngoja nimuite wizo akufunze ๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
Mmmmmh kwani weee ni momyla au ....
Jamn kama niweww nisamehe sasa unaposema umuite wizo ni kama unataka nikimbie uzi plzzzzz sirudii tena ๐Ÿ™ ๐Ÿ™ ๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Back
Top Bottom