Jamani muwe serious basi

Jamani muwe serious basi

Screenshot_20240305_141551_Gallery.jpg
 
Kujiepusha nao pia ni somo ambalo unasoma na degree unapata kabisa kule SAUT ila kuhusu soon naingia dasalam mkuu ntakula wa kutosha 😂😂😂😂😂
Hahaha kuwa makini tu. Hata dar wana super gonorrhoea la kenya haliishi nakuambia dawa yake na dozi ni ya maisha shaurilo
 
Ulikutana na za uso nn mkuu
Mi yaliwahi nikuta makubwa mkuu acha tui nishasimulia vya kutosha...

Kuna watu wana id za kike ila kiuhalisia ni wa kiume na kule love connection wapo wanatafuta wanaume """NATAFUTA MUME AWE DINI YOYOTE"""
Ukienda DM anakuchatisha kibabe unajua mmmh huyu dume kabisa mwenyewe unajiengua kmmk
 
Back
Top Bottom