Jamani muwe serious basi

Jamani muwe serious basi

Kamaanisha mnaomsalandia huko PM kwa sababu ya kuona Avatar kuweni serious sio yeye, yaani hafananii na huyo, mkajipa presha bure
Anajishtukia tu waungwana siku hizi hawana mda na utelezi fake
 
Hii imeenda aliyeelewa ameelewa asiyeelewa mwacheni tutamwamsha kesho😂😂
 
Kwa nini usijigharamie mwenyewe ili uache kusumbua watu humu.
Mimi nilipofikia ndio uwezo wangu nyie ndio mnasumbua mnataka watu wawe malaika kama hutaki usumbufu basi ridhika na hali halisi ya mtu
 
Kamaanisha mnaomsalandia huko PM kwa sababu ya kuona Avatar kuweni serious sio yeye, yaani hafananii na huyo, mkajipa presha bure
Mie mzuri sana tu nikiamua kuwa kizungu walai mafataki hawapumziki kusumbua ila nilichokaga nikawa bush lady
 
Mimi nilipofikia ndio uwezo wangu nyie ndio mnasumbua mnataka watu wawe malaika kama hutaki usumbufu basi ridhika na hali halisi ya mtu
Pole sana kwa usumbufu, hao wanaokusumbua ndiyo tatizo kumbe. Hao wanotaka uwe wanavyotaka wao, ni lazima waingie hizo gharama, nakuunga mkono 100%.
 
Back
Top Bottom