Leejay49
JF-Expert Member
- Feb 10, 2023
- 16,388
- 51,970
Unafeli🤓Wanaotamani kua na Cc humu watadeal nae mm 🙌🙌🙌
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unafeli🤓Wanaotamani kua na Cc humu watadeal nae mm 🙌🙌🙌
Ko katika wote umeona niishi humo😁hunitakii mema rafikiUnafeli🤓
Mtaogopa adi lini sasa😃Ko katika wote umeona niishi humo😁hunitakii mema rafiki
Mi kuna chaka nalielewa sio hloMtaogopa adi lini sasa😃
Utachelewa sana maisha kwa staili hiyo😂Mi kuna chaka nalielewa sio hlo
Mara mia kuchelewa kuliko kuwa na Chaka kama hlo😁😁😁Chaka lina vurugu mkijibizana kidogo anaweza reply "mtu mwenyewe una chale kwenye pvmbv"Utachelewa sana maisha kwa staili hiyo😂
😂😂😂😂😂😂,. Anasema yote sioMara mia kuchelewa kuliko kuwa na Chaka kama hlo😁😁😁Chaka lina vurugu mkijibizana kidogo anaweza reply "mtu mwenyewe una chale kwenye pvmbv"
Aaaaaah! Akili mtu wangu😂😂😂😂😂😂,. Anasema yote sio
Basi sawa,. Umetisha👊😂Aaaaaah! Akili mtu wangu
Alitegemea akuone mweupe lipstick kama yote mtindi mnene na tako kama kwenye avatar yako kumbe we ni mwajuma maneno mengi umbo namba mojaaa🤣🤣.Humu wengi wanachekesha, jameni mjue kuwa nyie hampo serious kweli mnaamini picha za avatar. Haya basi kama mnataka mtu awe utakavyo siunagharamia sasa mtu kafikia alipofikia unashangaa what niwewe ,?? Eh kwani nimegharamiwa ili nipendeze what if naona mi nilivyo nipo sawa.
Hi sio facebook unaweka real life . Hii ni jamii forum unaweka picha uipendayo na sio wewe ni umeipata tu huko so msi kariri maisha.
Hapana mie sio namba moja mie ji mzuri napendeka sema nimeamua kuwa local lady kwa sasa. Hadi niwe na mtu atakayenipendq nilivyo kwa sasa .Alitegemea akuone mweupe lipstick kama yote mtindi mnene na tako kama kwenye avatar yako kumbe we ni mwajuma maneno mengi umbo namba mojaaa🤣🤣.