Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
No other group has come close to matching, proportionally, Jewish abilities and accomplishments. Combined with other common Jewish traits - ambition, curiosity, energy, imagination, and persistence - Jewish intelligence has elevated an incredible number of Jews to the top ranks of various fields.But remember that, all one to one function are function, but not all function are one to one function.
Mimi ni msichana mwenye umri wa miaka 21, nasoma mwaka wa 3 kwenye chuo kikuu kimoja cha hapa mjini, nafanya shahada ya miaka minne, nimezaliwa na kukulia kwenye familia bora, tumezaliwa wanne na mimi ni wa mwisho, kaka zangu wawili wamezaliwa na Baba kutoka Uingereza, kaka yangu ninayemfuata amezaliwa na baba toka Benin, na mimi Baba yangu ni Myahudi raia wa Israel, wote Mama na ndugu zangu wako nje ya Nchi na Mama anafanya kazi shirika la chakula duniani Nchini Italy, nimebahatika kusoma nje lakini muda mwingi wa makuzi nilikuwa na bibi yangu hapa Tanzania, wakati nikiwa mwaka wa kwanza semester ya pili nilifeli kozi moja amabayo hata sikuitegemea na wenzangu walinishangaa richa ya uwezo wangu mkubwa wa kiakili (Mimi ni mchanganyiko wa myahudi na Mchaga), katika kufeli nililazimika kuirudia nikiwa mwaka wa pili, kwa bahati nzuri nikaiondoa, lakini katika hilo Professor aliekuwa ananisimamia hiyo kozi alianza kunitaka kimapenzi nami kwa juhudi kubwa nilimkatalia, lakini kwa vile nilikuwa najua kuna mahusiano makubwa kwanini nilifeli mwaka wa kwanza na Prof kuanza kunifatilia niliisoma hiyo hali nikajenga mazoea na yeye, mpaka akajua tayari nimeisha ingia kwenye mstari wake, alianza kwa kunipigia sana simu zisizo na idadi tena kwa number tofauti na mpaka leo sijui number yangu aliitolea wapi, alinitaka mara kibao tutoke lakini nilimkatalia mpaka wakati fulani nikamtania kama anataka kutoka na mimi basi labda twende nje ya Nchi, baada ya majuma kadhaa aliniita nikamkuta kwenye ofisi yake ya mjini ambapo alinionyesha bahasha tatu, mbili zikiwa na tiketi mbili za Ndege, moja ikiwa na jina lake na nyingine majina yangu kamili, na bahasha ya tatu ikiwa na fedha ambazo baadae nilizihesabu zilikuwa ni zaidi ya 1.5M maana asubuhi yake nilimwambia kwa utani nina shida ya kifedha, na akaniambia ametimiza matakwa yangu ya kutoka nje ya Nchi, kiufupi nilishindwa kumkatalia nikakubali siku ya siku Alhamisi tulisafiri kwenda kwenye mji mkuu mmoja maarufu hapa Africa, tulifikia hotel ya 5 star, baadae niligundua kwamba alikuwa na mhadhara Jumamosi kwenye chuo fulani maarufu kwenye hio Nchi na Africa, tuliongea sana katika safari hiyo akinieleza matatizo yake hasa ya kifamilia na mkewe (ameoa na ana watoto wawili) akisema yeye ni mtu tajiri lakini hana raha kabisa, wakati tukienda huko niliamua kwamba sitofanya nae mapenzi, tulifika mapema kabla ya asubuhi, tulienda kwenye maduka makubwa akaninunulia vitu vingi, a really smart phone, smart Ipad, nguo nyingi nzuri zikiwamo za ndani akinichagulia mwenyewe, viatu, mikoba, saa, mikufu, pete kila kitu, nahisi kabisa ile shoping iligharimu karibu 5M, tulienda migahawa mizuri sana hata wakati nikihisi nimeshiba sana, siku hiyo nililala peke yangu usiku wa Alhamis, Ijumaa alikuwa busy anaandaa presentation yake ingawa baadae tulienda kupima UKIMWI kwani alihisi mimi namuogopa kwa sababu hiyo kwenye crinic moja kubwa kwenye jiji hilo, na jumamosi alienda kupresent ambapo alirudi akiwa amefurahi sana kwamba amefanya vizuri katika hiyo presentation na watu wamemsifu sana, akaniambia tutoke kwani alikuwa amealikwa na marafiki zake chakula cha usiku baadae tulienda na alinitambulisha kama girlfriend wake kutoka Israel, tulikutana na watu wa Uganda na Kenya mahali hapo nilijifanya sizungumzi kabisa Kiswahili, ila kwa bahati nzuri nina accent ya kiingereza, tulikunywa na kulewa sana, tukarudi hotelini kwetu baadae ambapo kwakweli sikuwa na akili yangu nilifanya nae mapenzi usiku wote, tulirudi Nchini nikiwa mtu tofauti mwenye mawazo kidogo lakini sikuwa na wasiwasi.... nimekutana nae mara kadhaa hapa mjini na nje ya Nchi mara kadhaa tena, ni mtu msomi mwenye mialiko mingi ya kimataifa kila akiwa na safari ya mbali lazima twende wote mara mbili tumeenda wote Ulaya, na sasa ameniambia anataka twende tena huko mbali, amenibadilishia gari langu.... na nimerekebisha kidogo moja ya Nyumba za familia yangu ambayo ndio ninayoishi na sehemu nyingine nimerent, na bado ananipa kiwango kikubwa cha fedha nimenunua uwanja, nimefungulia biashara zangu tatu amabazo hazijui....kinachonisumbua yeye ni mume wa mtu mwingine, bababa wa watoto wake, nami ni mwanafunzi binti mdogo, natamani kuwa na msomi wa kariba yangu... nilikuwa na mtu mwanafunzi wa Chuo kingine tuliachana kwa sababu alikuwa mkali, mwenye wivu, na mlalamishi... naogopa nikimuacha itakuaje, nikimkatalia kuna hatari akatufundisha tena mwaka wa nne kwani ndie mtaalamu wa fani hiyo kwenye kitivo na anasifika kwa kudaka vichwa hasahasa finals...nimechanganyikiwa naomba ushauri wenu, nina akili zangu timamu, najua kwamba nilishindwa kusimamia maadili yangu vizuri hapo katikati lakini naamini kwamba nilianguka na naweza kusimama, nina uwezo wa kiuchumi wa kujisimamia na kutumia, hata favors zake ni nyogeza tu ya kutumia zaidi natanguliza samahani kwa watakaokerwa ntazingatia ushauri wenu. (imetafasiriwa kutoka kwenye lugha ya Kiingereza kwa msaada wa rafiki)
Dah sijaelewa hapo inaposema ''mchanganyiko wa Myahudi na Mchaga''. Na sio Myahudi na Mtanzania. Dah hivi kabila la wachaga lina nguvu na heshima!!
nimeshindwa kusoma maneno mengi! ni hayo tu, ahsanteni
Msomi wewe, weka hata parandesi basi......
Kumbe 'maprof" wanazichanga, hasa mbona huku nje wanaonekana hali tete.....pombe kwa sana....
Vp mnatwanga kote kote kama tigo au ni siri yako?
Acha upumbavu ndo mnakosaga bahati utajiri huoo
Je huwa anakurizisha? I mean #'s of org*sms?
Probably let him go, but make sure you finish your study, otherwise you will create enemity environment which at the end may jeopardize your plans. Pia punguza uchukuaji wa mishiko
Lol lol lolest!Nimeamini mtoto wa Nyoka ni nyoka,mama kazaa na wanaume wa3 tofauti tofauti what do you expect?pita njia hiyo hiyo wangu!!kula maisha,maisha ndo hayo ya professor tena mfanyie kufuru uzae nae!!
But remember that, all one to one function are function, but not all function are one to one function.
But remember that, all one to one function are function, but not all function are one to one function.
But remember that, all one to one function are function, but not all function are one to one function.
ha ha ha ha nimekukamata we kumbe mtoto wa magoma,kungimo a.k.a makete........but kastory kako kapo powa.MAPEMBELOi realy like your mathematics idea! chezea watu wa pure ww utaumia mwenyew! what about this! all sangas are kingas but not all kingas ar sangas teh teh teh teh!