Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inapplicable to the JEWS whenever a Jew steps amongst other races, other races are simply outsmarted!i realy like your mathematics idea! chezea watu wa pure ww utaumia mwenyew! what about this! all sangas are kingas but not all kingas ar sangas!
Nazidisha mara twice!Sasa msaada tena wakati ushanogewa! Mara zote hizooo? Zidisha tu malove siku ziende
We still have wise men around thank you my dear!jamani msaidieni mwenzenu mawazo na sio maneno machafu!!
Narudia tena Ndugu Mtanzania, nazungumza Kiswahili but am not good at it, let your frozen brain think, achilia bongo yako ifanye kazi!"tulikutana na watu wa Uganda na Kenya mahali hapo nilijifanya sizungumzi kabisa Kiswahili" unajua kuigiza kweli maana hata hapa jf umejifanya hujui kiswahili unajibu kwa kiingereza!na kwamba umetafsiriwa na friend! wengine waweza wadanganya ila nafsi yako huwezi idanganya.
If you can read my story and let your brain think! you will understand my point I refute your idea basically I'm maintaining a strong GPA since my first year out of own effort... am proud of my heritage as a chagga, mtori is our proud soup, am prepared to be a mother as long as am a girl so pregnancy is not an issue!Wayahudi tunajua wako juu ila wewe mnnnnnnnnh unapata degree kwa ngono! wewe mmachame rudi nyumbani unywe mtori vinginevyo akikupa mimba ndiyo utajua nyau siyo mboga au hakuna shida sababu mother alishaonyesha njia.....kazi kwako.
I wish you could walk within my shoes my dear, it is not my fault.Duuuuh kweli wanawake wana Siri nyingi yaani kutafuta elimu kumeafanya uwe mtumwa wa mapenzi na kuuza utu wako kiasi hicho?? kama mzazi wako ana uwezo wote huo na umeshindwa kujinasua na huu mtego je itakuwaje kwa mtu ambaye ni maskini na anategemea Elimu imuokoe??......najifunza kitu hapa and for your story I RESERVE MY COMMENTS.
No wonder weaker brains concentrates on character rather than contents!Ungekua na hizo akili unazojitambia ungekumbuka kuandika na kuweka pragraphs.Hadithi za kutunga kamuuzie Shigongo
Uongo mtupu...
narudia tena ndugu mtanzania, nazungumza kiswahili but am not good at it, let your frozen brain think, achilia bongo yako ifanye kazi!
Shame on you prostitute
I'm not fighting for recognition young man!Sasa wewe kwa nini usiombe ushauri kwa wayahudi?? Maana hapa naona unaendekeza akili zenu za kiyahudi za kuona watu wengine wote hawana akili. Halafu wewe ukienda kwa wayahudi na kujishebedua kwako wala hawakutambui!!!
Acha dharau wewe eti young man, unajua umri wangu wewe??!!! Na kama hutafuti umaarufu kulikuwa na haja gani ya kusema wewe ni myahudi, mara mama kalala na mwingereza kisha mjerumani?? Hivi unadhani wanajamvi kujua mama yako kalala na wanaume wa aina gani inasaidia nini katika kukupa ushauri kwenye hili suala lako??!! Halafu kuna sehemu umesema kuwa myahudi mara zote ni akikaa na wengine lazima awazidi!!! Mi ndio nasema kama ni hivyo, kilichokuleta humu ni nini??!! Si uongee na wayahudi basi wakupe majibu, wewe na hao wayahudi si mko smart?? Au unatafuta wayahudi walioko humu wakusaidie???I'm not fighting for recognition young man!