jamani mwenye posible mitihani ya form 4 atupie hapa

jamani mwenye posible mitihani ya form 4 atupie hapa

kesho form 4 wanaanza mitihani ya mwisho,najua mtaani sahz pepa zmemwagwa mbya wakidai ndo yenyewe ya ngalichako,mwenye nazo hzo posible atupia hapa Jf tuone kama ni zakweli

ndio nani HUYU????
 
Swali ambalo ni Certain
1.How many official and non official visits has JK made overseas so far and to what extent have they been detrimental to the lives of Tanzanians? (60 Marks.)
 
who is the presidemt of Tanzania
 
Hakuna V2 Rahisi.utaolewa Kijana.piga Shule,achana Na Mambo Ya Kipuuzi.ningekutana Na Wewe Ningekupiga Makofi Thelathini Kidogo.
Anyway,mimi Ni M2 Mwenye Huruma Sana Na Huwa Niumia Sana Nikiona M2 Anafeli Pasipo Na 7bu Ya Msingi.ninepata Ki2 Chenyewe Cha Both Private candtd Na Schl Candidate.nina History,english,kiswahl Na Civics Mkononi.cha Msing Bwana Wizzo,unapaswa U2me Shiling 120000 Kwenda Kwenye Namba 0656544407(tigo pesa) Au O762387615(m.pesa)si unajua tenaaaaa.tuna sasa hv nikupe mapepa.
 
Wengi mmetumia Ngalichako je ni sahihi kuandika hivyo?isije ikawa ni kutafuta possible juu ya possible.
 
Mkuu umenichekesha sana eti anataga yai. Lol!

sasa mtoto kaja na O na alikua anahudumiwa mahitaji yote unategemea tuseme amefanyaje zaid ya kusema kataga yai la miaka minne,zamani tulikua tunaiita
FFFFFY yaani FIGHT FOR FOOD FOR FOUR YEARS
 
hahahahaha tatizo hamjajua
kwa nini nimeweka uzi huu.nataka kujua ngalichako ni kweli toka apewe
uongozi hajawahi kuvujisha pepa ?

1.Hist: The source of Nile,and Trans Saharan trade,2,Civics, The rights and duties of citizen during election. 3 Maths, Quadratic equetions and algebras haya kasome!
 
hahahahaha tatizo hamjajua kwa nini nimeweka uzi huu.nataka kujua ngalichako ni kweli toka apewe uongozi hajawahi kuvujisha pepa ?
ni ngalichako au ndalichako?
 
kesho form 4 wanaanza mitihani ya mwisho,najua mtaani sahz pepa zmemwagwa mbya wakidai ndo yenyewe ya ngalichako,mwenye nazo hzo posible atupia hapa Jf tuone kama ni zakweli
Kama hukujiandaa kufaulu, basi jiandae kufeli
 
Soma probability vzur, kwene phys piga magnetic induction na electronics kama huamini visubir kwene pepa.
 
Mtihani mbona ulivuja tangu ulipoanza form One? Revise notice ulizosoma tangu form One, pepa liko humo!!!!!
 
hahahahaha tatizo hamjajua kwa nini nimeweka uzi huu.nataka kujua ngalichako ni kweli toka apewe uongozi hajawahi kuvujisha pepa ?

kesho form 4 wanaanza mitihani ya mwisho,najua mtaani sahz pepa zmemwagwa mbya wakidai ndo yenyewe ya ngalichako,mwenye nazo hzo posible atupia hapa Jf tuone kama ni zakweli

Mkuu,

1. Majina ya watu yanaandikwa kwa kuanza na herufi kubwa.
2. Unaharibu majina ya watu. Nadhani hapo pekundu ni Ndalichako.
 
Wewe nani kakuambia hili jukwaa la wezi? Ebu kaombe wahusika wa jf wakuandalie jukwaa lako na wezi wenzio, mimi nina possible za masomo ya PCB lakini sikupi maana nyie ndo mnafanya operation za vichwa badala ya mikino.
 
toa utata ktk sentensi ifuatayo juma aliniunga mkono
 
kesho form 4 wanaanza mitihani ya mwisho,najua mtaani sahz pepa zmemwagwa mbya wakidai ndo yenyewe ya ngalichako,mwenye nazo hzo posible atupia hapa Jf tuone kama ni zakweli
huyu naye ni nani!!
 
Tanzania inaelekea wapi?mbele?nyuma?pembeni?juu?chini?katikati?its sad to see kwa kweli sijui miaka ijayo tutakuwa na taifa lenye watu wa aina gani Mungu wetu!hili ni balaa
 
Back
Top Bottom