Jamani Mwili Wangu Unawasha balaa

Jamani Mwili Wangu Unawasha balaa

RoadLofa

JF-Expert Member
Joined
Mar 22, 2017
Posts
1,509
Reaction score
3,313
Nina Mwezi tangu mwili wangu uanze kuwasha yaani nawashwa mwili mzima hali inayopelekea kujikuna sana aswa kwenye joto ndo miwasho inazidi najikuna Hadi kujichubua ngozi yaani nawashwa balaa na hali inazidi usiku nikiwa nimelala, yaani Hadi mboo Kwa ndani kwenye joto najifikicha balaa maana inawasha balaa kuna siku nilienda hospital ya wilaya nikafanyiwa vipimo vya mkojo na choo lakini hawakuona chochote ila wakanipa vidonge vya fangasi na minyoo maana walihisi labda shida itakuwa iyo ,nilipoanza dose ya siku 14,hali ya ngozi kuwashwa ilipotea Kwa asilimia kubwa ila mboo Bado ilikuwa inawasha Kwa ndani aswa ikifika usiku muda WA kulala Kwa iyo ikawa inapelekea kujipikicha sana

Baada ya kumaliza iyo dose ya siku 14 ya fangasi naona hakuna iyo dose ilichosaidia zaidi ya kuwasha Kwa ngozi ya mwili kumerudi Kwa Kasi plus na mboo kuwasha Kwa ndani

Msaada please Kwa wenye ujuzi WA tiba WA ili tatizo mimi nahisi watakuwa fangasi ila Sina huakika zaidi maana kipindi cha joto ndo nawashwa mwili balaa kama nimemwagiwa upupu yaani nawashwa Hadi kichwani, yaani kila sehemu ya mwili shingoni,mgongoni,matakoni,usoni,

Yaani nateseka balaa
 
Mhh kuna tatizo mahali..hospital zetu bado kwenye sekta ya uchunguzi zinafail..
Utakua na allergy ya kitu ambacho ni common kwenye mazingira yako..
Tatizo la madaktari kweli aswa uku bush daktari hakuona kitu halafu akanipa dawa za kutest kama zitatibu tatizo yaani daktari naye anabahatisha aisee
Sio ukimyaaaaaa............ni yale matatizo yetu......kisambusa ,gono ......uti.......malenge.........kiseyeye nk
Mjomba haujasoma nilichoandika😀 ivyo vyote Sina sijui UTI, GONO,MINYOO,UKIMWI Sina
 
Mpaka kwenye mboo......mhh..................baba ujalivaa goma la mdundiko huko?? Angalia hatua zako kwanza .........usije kuwa unajiroga mwenyewe
Yaani nawashwa Hadi ngozi ya kichwa na ivi Nina nywele natamani nikanyoe kipara,sema yaani haujazungumzia sehemu zooote umeona mboo tu😀😀
 
Kingine kuna chakula unakula kinakuletea shida hiyo,Mimi toka nijue nikizidisha sana kula mayai nawashwa mpaka kwenye meno kwa sasa nakula ila kwa machale sana.
 
Yaani nawashwa Hadi ngozi ya kichwa na ivi Nina nywele natamani nikanyoe kipara,sema yaani haujazungumzia sehemu zooote umeona mboo tu😀😀
Haya basi trako .......vipi nalo linakuwasha😀😀😀
 
Kingine kuna chakula unakula kinakuletea shida hiyo,Mimi toka nijue nikizidisha sana kula mayai nawashwa mpaka kwenye meno kwa sasa nakula ila kwa machale sana.
Aah
 
niliwahi sumbuliwa na hilo tatizo,.. lakini ilikuwa ni baada ya kutumia antibiotics fulani ndipo nikata hilo balaa kama side effects,....ok, kulituliza hilo tumia kidonge kimoja cha citrizen mara baada ya muwasho kuanza,,...ikiwa itakusaidia, rudisha majibu,...
 
Back
Top Bottom