Jamani Mwili Wangu Unawasha balaa

Jamani Mwili Wangu Unawasha balaa

Nina Mwezi tangu mwili wangu uanze kuwasha yaani nawashwa mwili mzima hali inayopelekea kujikuna sana aswa kwenye joto ndo miwasho inazidi najikuna Hadi kujichubua ngozi yaani nawashwa balaa na hali inazidi usiku nikiwa nimelala, yaani Hadi mboo Kwa ndani kwenye joto najifikicha balaa maana inawasha balaa kuna siku nilienda hospital ya wilaya nikafanyiwa vipimo vya mkojo na choo lakini hawakuona chochote ila wakanipa vidonge vya fangasi na minyoo maana walihisi labda shida itakuwa iyo ,nilipoanza dose ya siku 14,hali ya ngozi kuwashwa ilipotea Kwa asilimia kubwa ila mboo Bado ilikuwa inawasha Kwa ndani aswa ikifika usiku muda WA kulala Kwa iyo ikawa inapelekea kujipikicha sana

Baada ya kumaliza iyo dose ya siku 14 ya fangasi naona hakuna iyo dose ilichosaidia zaidi ya kuwasha Kwa ngozi ya mwili kumerudi Kwa Kasi plus na mboo kuwasha Kwa ndani

Msaada please Kwa wenye ujuzi WA tiba WA ili tatizo mimi nahisi watakuwa fangasi ila Sina huakika zaidi maana kipindi cha joto ndo nawashwa mwili balaa kama nimemwagiwa upupu yaani nawashwa Hadi kichwani, yaani kila sehemu ya mwili shingoni,mgongoni,matakoni,usoni,

Yaani nateseka balaa
Maybe alkege tafta dawa ya allege
 
Mleta mada hujasoma au? Anataka umtunuku akusugulie
Kwa Nini hajaongelea mkyundu kama ulimuwasha ama laaa....ameongelea tu miwili mzima ..akamaliza na uume!??..... Inahitajika busara na hekima sana kutambua tangazo la huyu ..Kuna kiungo kinamuwasha hajakitaja....
 
Nina Mwezi tangu mwili wangu uanze kuwasha yaani nawashwa mwili mzima hali inayopelekea kujikuna sana aswa kwenye joto ndo miwasho inazidi najikuna Hadi kujichubua ngozi yaani nawashwa balaa na hali inazidi usiku nikiwa nimelala, yaani Hadi mboo Kwa ndani kwenye joto najifikicha balaa maana inawasha balaa kuna siku nilienda hospital ya wilaya nikafanyiwa vipimo vya mkojo na choo lakini hawakuona chochote ila wakanipa vidonge vya fangasi na minyoo maana walihisi labda shida itakuwa iyo ,nilipoanza dose ya siku 14,hali ya ngozi kuwashwa ilipotea Kwa asilimia kubwa ila mboo Bado ilikuwa inawasha Kwa ndani aswa ikifika usiku muda WA kulala Kwa iyo ikawa inapelekea kujipikicha sana

Baada ya kumaliza iyo dose ya siku 14 ya fangasi naona hakuna iyo dose ilichosaidia zaidi ya kuwasha Kwa ngozi ya mwili kumerudi Kwa Kasi plus na mboo kuwasha Kwa ndani

Msaada please Kwa wenye ujuzi WA tiba WA ili tatizo mimi nahisi watakuwa fangasi ila Sina huakika zaidi maana kipindi cha joto ndo nawashwa mwili balaa kama nimemwagiwa upupu yaani nawashwa Hadi kichwani, yaani kila sehemu ya mwili shingoni,mgongoni,matakoni,usoni,

Yaani nateseka balaa
Nenda kwa specialist mkuu au hospitali kubwa nakusihi sana achana na hizi hospitali ndogo ndogo kama tatizo halipoi

Lasivyo utakuna uboo mbaka umwage wazungu
 
Pole sana. Inaonekana unaumwa sana. Kuna mambo machache unaweza kujaribu ili kupunguza kuwasha:
Angalia video hii kwa ufupi HAPA

Oga kwa maji baridi: Maji ya baridi yanaweza kusaidia kupunguza kuwasha.
Tumia sabuni isiyo na harufu: Sabuni zenye harufu zinaweza kuongeza kuwasha.
Vaazi nguo za pamba: Pamba inaruhusu ngozi kupumua na inaweza kupunguza kuwasha.
Tumia lotion isiyo na harufu: Lotion inaweza kusaidia kuweka ngozi yako unyevu na kupunguza kuwasha.
Epuka kukwaruza: Kukwaruza kunaweza kusababisha kuwasha zaidi na kuharibu ngozi yako.
Tumia dawa ya kuzuia kuwasha: Kama kuwasha kunazidi, unaweza kujaribu kutumia dawa ya kuzuia kuwasha ambayo haina dawa za kuua wadudu.

Kama kuwasha hakupungui, ni muhimu sana kuona daktari. Daktari ataweza kubaini sababu ya kuwasha na kukupa matibabu sahihi.
Mfano huu HAPA

Sababu za kawaida za kuwasha ni:
Mzio
Maambukizi ya ngozi
Upele
Ugonjwa wa ngozi kama vile psoriasis au eczema
Kujua matibabu yake bonyeza HAPA
 
Nina Mwezi tangu mwili wangu uanze kuwasha yaani nawashwa mwili mzima hali inayopelekea kujikuna sana aswa kwenye joto ndo miwasho inazidi najikuna Hadi kujichubua ngozi yaani nawashwa balaa na hali inazidi usiku nikiwa nimelala, yaani Hadi mboo Kwa ndani kwenye joto najifikicha balaa maana inawasha balaa kuna siku nilienda hospital ya wilaya nikafanyiwa vipimo vya mkojo na choo lakini hawakuona chochote ila wakanipa vidonge vya fangasi na minyoo maana walihisi labda shida itakuwa iyo ,nilipoanza dose ya siku 14,hali ya ngozi kuwashwa ilipotea Kwa asilimia kubwa ila mboo Bado ilikuwa inawasha Kwa ndani aswa ikifika usiku muda WA kulala Kwa iyo ikawa inapelekea kujipikicha sana

Baada ya kumaliza iyo dose ya siku 14 ya fangasi naona hakuna iyo dose ilichosaidia zaidi ya kuwasha Kwa ngozi ya mwili kumerudi Kwa Kasi plus na mboo kuwasha Kwa ndani

Msaada please Kwa wenye ujuzi WA tiba WA ili tatizo mimi nahisi watakuwa fangasi ila Sina huakika zaidi maana kipindi cha joto ndo nawashwa mwili balaa kama nimemwagiwa upupu yaani nawashwa Hadi kichwani, yaani kila sehemu ya mwili shingoni,mgongoni,matakoni,usoni,

Yaani nateseka balaa
🌳 FAHAMU KUHUSU MCHAFUKO WA DAMU 🌳
(SEPTCEMA TOXEMIA)
⚡Ni Kuwepo kwa pvijidudu kwenye damu yaani "sepitcema" Kama vile virusi, Bacteria, fungi au protozoa.
⚡Kuongezeka kwa uchafu unaotokana na viungo vya mwili kushindwa kufanya kazi.
⚡Kiwango Cha juu Cha masalio na chembechembe au uchafu unaotokana na usagaji wa chakula kwenye tumbo au madaw ikiwemo sumu na mihadarati au miale ya radiations kwenye nyanja za matibabu n.k

🌱 DALILI ZA MCHAFUKO WA DAMU 🌱
👉Homa kali
👉 Kuwashwa mwili na Kutokwa vipele
👉 Kichefuchefu na kutapika
👉Kuhara
👉 Kupumua kwa shida
👉 Shinikizo la damu kuwa chini Sana kutokana na kutanuka kwa mishipa ya damu.
👉Kujiskia/kujihisi vibaya
👉Mabadiliko katika hali ya akili kama vile kuchanganyikiwa
👉Kupungua kwa joto la mwili
👉kupunguzua au kutokuwepo kwa pato la mkojo
👉kupumua kwa kasi
👉Damu kupungua.
👉Petechiae, ishara ya bacteremia. Petechiae ni vidonda vinavyotokea chini ya ngozi, vinaweza kuwa vidogo na vinavyoenea au vinaweza kuunganika kuunda vidonda vikubwa, vidonda vyenye seli zilizokufa.
👉Maumivu ya mifupa

🍃 ATHARI ZA MCHAFUKO WA DAMU 🍃
⚡ Dosari kwenye organs za mwili Kama Figo, Ini na Moyo.
⚡ Dosari Katika mishipa ya damu
⚡ Kuathiri afya ya ngozi (vipele n.k)
⚡ Kuharibika kwa homoni
⚡ Kuathiriwa kwa mmeng'enyo wa chakula
⚡ Athari katika kinga ya mwili n.k

MATIBABU

Tiba sahihi ya tatizo ili kusafisha mfumo wa damu na kubadili mfumo wa vyakula (DETOXIFICATION).

Kwa ushauri na tiba za maradhi mbalimbali wasiliana nasi
What's app/call
+255 656 303 019

~Chief Sang'ida
 
Nina Mwezi tangu mwili wangu uanze kuwasha yaani nawashwa mwili mzima hali inayopelekea kujikuna sana aswa kwenye joto ndo miwasho inazidi najikuna Hadi kujichubua ngozi yaani nawashwa balaa na hali inazidi usiku nikiwa nimelala, yaani Hadi mboo Kwa ndani kwenye joto najifikicha balaa maana inawasha balaa kuna siku nilienda hospital ya wilaya nikafanyiwa vipimo vya mkojo na choo lakini hawakuona chochote ila wakanipa vidonge vya fangasi na minyoo maana walihisi labda shida itakuwa iyo ,nilipoanza dose ya siku 14,hali ya ngozi kuwashwa ilipotea Kwa asilimia kubwa ila mboo Bado ilikuwa inawasha Kwa ndani aswa ikifika usiku muda WA kulala Kwa iyo ikawa inapelekea kujipikicha sana

Baada ya kumaliza iyo dose ya siku 14 ya fangasi naona hakuna iyo dose ilichosaidia zaidi ya kuwasha Kwa ngozi ya mwili kumerudi Kwa Kasi plus na mboo kuwasha Kwa ndani

Msaada please Kwa wenye ujuzi WA tiba WA ili tatizo mimi nahisi watakuwa fangasi ila Sina huakika zaidi maana kipindi cha joto ndo nawashwa mwili balaa kama nimemwagiwa upupu yaani nawashwa Hadi kichwani, yaani kila sehemu ya mwili shingoni,mgongoni,matakoni,usoni,

Yaani nateseka balaa
Habari yako mkuu, pole! Vipi maendeleo yako kaka?
 
Back
Top Bottom