Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ok thanksniliwahi sumbuliwa na hilo tatizo,.. lakini ilikuwa ni baada ya kutumia antibiotics fulani ndipo nikata hilo balaa kama side effects,....ok, kulituliza hilo tumia kidonge kimoja cha citrizen mara baada ya muwasho kuanza,,...ikiwa itakusaidia, rudisha majibu,...
make sure unaijaribu ndugu...na unipe mrejesho kuna jambo nitakueleza ikiwa itakusaidiaOk thanks
Dah!....pole Sana aisee..Nina Mwezi tangu mwili wangu uanze kuwasha yaani nawashwa mwili mzima hali inayopelekea kujikuna sana aswa kwenye joto ndo miwasho inazidi najikuna Hadi kujichubua ngozi yaani nawashwa balaa na hali inazidi usiku nikiwa nimelala ,yaani Hadi mboo Kwa ndani kwenye joto najifikicha balaa maana inawasha balaa kuna siku nilienda hospital ya wilaya nikafanyiwa vipimo vya mkojo na choo lakini hawakuona chochote ila wakanipa vidonge vya fangasi na minyoo maana walihisi labda shida itakuwa iyo ,nilipoanza dose ya siku 14,hali ya ngozi kuwashwa ilipotea Kwa asilimia kubwa ila mboo Bado ilikuwa inawasha Kwa ndani aswa ikifika usiku muda WA kulala Kwa iyo ikawa inapelekea kujipikicha sana
Baada ya kumaliza iyo dose ya siku 14 ya fangasi naona hakuna iyo dose ilichosaidia zaidi ya kuwasha Kwa ngozi ya mwili kumerudi Kwa Kasi plus na mboo kuwasha Kwa ndani
Msaada please Kwa wenye ujuzi WA tiba WA ili tatizo mimi nahisi watakuwa fangasi ila Sina huakika zaidi maana kipindi cha joto ndo nawashwa mwili balaa kama nimemwagiwa upupu yaani nawashwa Hadi kichwani, yaani kila sehemu ya mwili shingoni,mgongoni,matakoni,usoni,
Yaani nateseka balaa
Kabisa inategemea ww mwili wako una react na nini...anza kujichunguza muda gani unawashwa zaidi.na katika hali gani...Ivi mafuta ya kupikia yanaweza sababisha iyo Hali? pia nimeanza para wasiwasi na mazingira yanayonizunguka.
Mara ya Mwisho kupiga nyeto lini?yaani Hadi mboo
Nani huyo anawashwa Hadi mboro..?
Kasema hadi nanii inamuwasha mpe support basi ya kumkuna na hio naniiUgua pole.
Vipi mndyuku hauwashi!??...... Lipia tangazo....Nina Mwezi tangu mwili wangu uanze kuwasha yaani nawashwa mwili mzima hali inayopelekea kujikuna sana aswa kwenye joto ndo miwasho inazidi najikuna Hadi kujichubua ngozi yaani nawashwa balaa na hali inazidi usiku nikiwa nimelala, yaani Hadi mboo Kwa ndani kwenye joto najifikicha balaa maana inawasha balaa kuna siku nilienda hospital ya wilaya nikafanyiwa vipimo vya mkojo na choo lakini hawakuona chochote ila wakanipa vidonge vya fangasi na minyoo maana walihisi labda shida itakuwa iyo ,nilipoanza dose ya siku 14,hali ya ngozi kuwashwa ilipotea Kwa asilimia kubwa ila mboo Bado ilikuwa inawasha Kwa ndani aswa ikifika usiku muda WA kulala Kwa iyo ikawa inapelekea kujipikicha sana
Baada ya kumaliza iyo dose ya siku 14 ya fangasi naona hakuna iyo dose ilichosaidia zaidi ya kuwasha Kwa ngozi ya mwili kumerudi Kwa Kasi plus na mboo kuwasha Kwa ndani
Msaada please Kwa wenye ujuzi WA tiba WA ili tatizo mimi nahisi watakuwa fangasi ila Sina huakika zaidi maana kipindi cha joto ndo nawashwa mwili balaa kama nimemwagiwa upupu yaani nawashwa Hadi kichwani, yaani kila sehemu ya mwili shingoni,mgongoni,matakoni,usoni,
Yaani nateseka balaa
Mleta mada hujasoma au? Anataka umtunuku akusugulieNani huyo anawashwa Hadi mboro..?
MtunukuHadi mboro na mapumbu navyo vinawashwa eeh..??