Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwa taarifa yako muu, kati ya wafanyakazi wa tanzania walio na fedha nyingi ni walimu.kwan if you belive in this saying that ,time is money ,then kwenye sector ya elimu walimu wako na muda mwingi wa kufanya mambo yao,hasa kwa level ya shule za msingi,secondary na vyuo vya diploma.fedha hizo wanaweza kuzipata tu iwapo wataweza ku-covert time into money.wachache wenye mtizamo chanya juu ya maisha ndio wanalijua hili.kwako wewe change the way you think toward teaching professional,think how teaching professional can make you rich.
Ingawa naambiw niish kwa
kutoangalia watu lakn jaman
kwng imezidi,jaman napata
fedhea na dharau za hal y juu
kutoka familia yng mpak jamii
kwa ujumla.eti familia yng
naambiw ctakuw na msaada
wowote zaid y kuendelea kuw
tegemez kwakuw ualim si kitu
ktk nch hii,jaman zaid inanium
napoambiw napotez muda
wng na kuonyeshw watoto wa
majiran et huon fulan
anasoma
doctoring,accountant,et hao
ndo wanasomea maisha ya
kifahar na mm nasomea
umaskin.
Nawaambia jaman
ntajiendelez kusoma hapo
badae kwa dharau naambiwa
kwa mshahara upi wa
mwalim,hyo master utaweza
kwel? Baba fulan si mwalim
yule mpaka amezeeka je kuna
la maana alilofanya,nitabaki
hapahapa na rafk zng ambao
hawajasoma wataniacha
kimaisha kwn nasomea
umaskin
Kiukwel navunjwa moyo
mpaka najiulza kwann ualim
hauthaminiw?
Kwangu hii imekuw
kero,kwan najhc kutengw
jaman.je nfanye nn mwenzenu
jaman naiomba serikal ijaribu
kuboresha maisha ya waalim
tumechoka kudharauliwa,