Jamani nahisi nimetukanwa kwa lugha ya Kirusi, nisaidieni kujua maana yake

Jamani nahisi nimetukanwa kwa lugha ya Kirusi, nisaidieni kujua maana yake

maharage ya ukweni

JF-Expert Member
Joined
Aug 25, 2016
Posts
1,415
Reaction score
3,213
Salaam!

Jamani nimeandikiwa kwa lugha ya Putin sijaelewa so anayefahamu anieleweshe.

Уважаемый мистер Шабани! Я искренне не понимаю чего Вы хотите добиться своими сообщениями?

Natanguliza shukran!
 
Salaam!

Jamani nimeandikiwa kwa lugha ya Putin sijaelewa so anayefahamu anieleweshe.

Уважаемый мистер Шабани! Я искренне не понимаю чего Вы хотите добиться своими сообщениями?

Natanguliza shukran!
Ndugu Shabani! Kwa kweli sielewi unataka kufikia nini na ujumbe wako?
 
Salaam!

Jamani nimeandikiwa kwa lugha ya Putin sijaelewa so anayefahamu anieleweshe.

Уважаемый мистер Шабани! Я искренне не понимаю чего Вы хотите добиться своими сообщениями?

Natanguliza shukran!
Cher M. Shabani ! Je ne comprends sincèrement pas ce que vous voulez réaliser avec vos messages ?

Sent from my vivo 1907 using JamiiForums mobile app
 
Dear Mr Shabani! I sincerely do not understand what you want to achieve with your messages?
 
Salaam!

Jamani nimeandikiwa kwa lugha ya Putin sijaelewa so anayefahamu anieleweshe.

Уважаемый мистер Шабани! Я искренне не понимаю чего Вы хотите добиться своими сообщениями?

Natanguliza shukran!
Ni kheri kua mkweli kuliko mdanganyifu. Utuelezee ukweli wa ulichomuomba uo mdada wa kirusi.. Na jua kua wale wagumu kukuvulia chupi... bila kutambua muelekeo wako .... Usiewe mbongo mbongo. Utajikuta unakimbia bila mabegi yako
 
Salaam!

Jamani nimeandikiwa kwa lugha ya Putin sijaelewa so anayefahamu anieleweshe.

Уважаемый мистер Шабани! Я искренне не понимаю чего Вы хотите добиться своими сообщениями?

Natanguliza shukran!


Kumbe jina lako ni Shabani iweje ujiite maharage ya ukweni wakati Shabani ni jina zuri tu??🤣
 
Back
Top Bottom