Unaongea hivyo wakati jina lako nIDA ni mokaze au?Kumbe jina lako ni Shabani iweje ujiite maharage ya ukweni wakati Shabani ni jina zuri tu??[emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Unaongea hivyo wakati jina lako nIDA ni mokaze au?Kumbe jina lako ni Shabani iweje ujiite maharage ya ukweni wakati Shabani ni jina zuri tu??[emoji1787]
Duu umenikumbusha Ile ya hachu tibyaDear Mr. Shabani! I sincerely do not understand what you want to achieve with your messages?
Ndio maana yake hiyo, dada wa kirusi umemuomba nini hicho ambacho hakipo wazi?
Ha ha ha nabiii wa mwendo kasiNataka anipe mzigo nimechoka kula kwa macho
Shida Iko wapi ?Salaam!
Jamani nimeandikiwa kwa lugha ya Putin sijaelewa so anayefahamu anieleweshe.
Уважаемый мистер Шабани! Я искренне не понимаю чего Вы хотите добиться своими сообщениями?
Natanguliza shukran!