maharage ya ukweni
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 1,415
- 3,213
Google translator balaaDear Mr. Shabani! I sincerely do not understand what you want to achieve with your messages?
Ndio maana yake hiyo, dada wa kirusi umemuomba nini hicho ambacho hakipo wazi?
Kila la kheri Shabani katika maombi yakogoogle translator balaa
... kirusi hakitafsiriki kwa Kiswahili?Dear Mr. Shabani! I sincerely do not understand what you want to achieve with your messages?
Ndio maana yake hiyo, dada wa kirusi umemuomba nini hicho ambacho hakipo wazi?
Nataka anipe mzigo nimechoka kula kwa machoDear Mr. Shabani! I sincerely do not understand what you want to achieve with your messages?
Ndio maana yake hiyo, dada wa kirusi umemuomba nini hicho ambacho hakipo wazi?
Waswahili kazi yao ni kuomba omba tu hawana jipya atakuwa ameomba pesa au penzi ili akalelewe.Dear Mr. Shabani! I sincerely do not understand what you want to achieve with your messages?
Ndio maana yake hiyo, dada wa kirusi umemuomba nini hicho ambacho hakipo wazi?
Mimi nataka anipe mzigo nimechoka kula kwa machoKila la kheri shabani katika maombi yako
Ndugu Shabani! Kwa kweli sielewi unataka kufikia nini na ujumbe wako?Salaam!
Jamani nimeandikiwa kwa lugha ya Putin sijaelewa so anayefahamu anieleweshe.
Уважаемый мистер Шабани! Я искренне не понимаю чего Вы хотите добиться своими сообщениями?
Natanguliza shukran!
Cher M. Shabani ! Je ne comprends sincèrement pas ce que vous voulez réaliser avec vos messages ?Salaam!
Jamani nimeandikiwa kwa lugha ya Putin sijaelewa so anayefahamu anieleweshe.
Уважаемый мистер Шабани! Я искренне не понимаю чего Вы хотите добиться своими сообщениями?
Natanguliza shukran!
Hahahaha... Eti unarudia ya mshikajiDear Mr Shabani! I sincerely do not understand what you want to achieve with your messages?
Ni kheri kua mkweli kuliko mdanganyifu. Utuelezee ukweli wa ulichomuomba uo mdada wa kirusi.. Na jua kua wale wagumu kukuvulia chupi... bila kutambua muelekeo wako .... Usiewe mbongo mbongo. Utajikuta unakimbia bila mabegi yakoSalaam!
Jamani nimeandikiwa kwa lugha ya Putin sijaelewa so anayefahamu anieleweshe.
Уважаемый мистер Шабани! Я искренне не понимаю чего Вы хотите добиться своими сообщениями?
Natanguliza shukran!
Salaam!
Jamani nimeandikiwa kwa lugha ya Putin sijaelewa so anayefahamu anieleweshe.
Уважаемый мистер Шабани! Я искренне не понимаю чего Вы хотите добиться своими сообщениями?
Natanguliza shukran!
Kumbe jina lako ni Shabani iweje ujiite maharage ya ukweni wakati Shabani ni jina zuri tu??[emoji1787]
Shabani jina zuri? Acha utaniKumbe jina lako ni Shabani iweje ujiite maharage ya ukweni wakati Shabani ni jina zuri tu??🤣