M mabasso JF-Expert Member Joined Oct 16, 2022 Posts 1,263 Reaction score 2,378 Nov 6, 2022 #21 Mokaze said: Kumbe jina lako ni Shabani iweje ujiite maharage ya ukweni wakati Shabani ni jina zuri tu??[emoji1787] Click to expand... Unaongea hivyo wakati jina lako nIDA ni mokaze au?
Mokaze said: Kumbe jina lako ni Shabani iweje ujiite maharage ya ukweni wakati Shabani ni jina zuri tu??[emoji1787] Click to expand... Unaongea hivyo wakati jina lako nIDA ni mokaze au?
Ego is the Enemy JF-Expert Member Joined Mar 21, 2014 Posts 8,201 Reaction score 16,246 Nov 6, 2022 #22 nyboma said: Dear Mr. Shabani! I sincerely do not understand what you want to achieve with your messages? Ndio maana yake hiyo, dada wa kirusi umemuomba nini hicho ambacho hakipo wazi? Click to expand... Duu umenikumbusha Ile ya hachu tibya
nyboma said: Dear Mr. Shabani! I sincerely do not understand what you want to achieve with your messages? Ndio maana yake hiyo, dada wa kirusi umemuomba nini hicho ambacho hakipo wazi? Click to expand... Duu umenikumbusha Ile ya hachu tibya
ntamaholo JF-Expert Member Joined Aug 30, 2011 Posts 12,938 Reaction score 6,942 Nov 7, 2022 #23 maharage ya ukweni said: Nataka anipe mzigo nimechoka kula kwa macho Click to expand... Ha ha ha nabiii wa mwendo kasi
maharage ya ukweni said: Nataka anipe mzigo nimechoka kula kwa macho Click to expand... Ha ha ha nabiii wa mwendo kasi
K Kashishi yetu JF-Expert Member Joined Mar 22, 2014 Posts 3,509 Reaction score 3,741 Nov 30, 2022 #24 maharage ya ukweni said: Salaam! Jamani nimeandikiwa kwa lugha ya Putin sijaelewa so anayefahamu anieleweshe. Уважаемый мистер Шабани! Я искренне не понимаю чего Вы хотите добиться своими сообщениями? Natanguliza shukran! Click to expand... Shida Iko wapi ? SI nawewe utukane TU Kwa lugha ya kikwenu?
maharage ya ukweni said: Salaam! Jamani nimeandikiwa kwa lugha ya Putin sijaelewa so anayefahamu anieleweshe. Уважаемый мистер Шабани! Я искренне не понимаю чего Вы хотите добиться своими сообщениями? Natanguliza shukran! Click to expand... Shida Iko wapi ? SI nawewe utukane TU Kwa lugha ya kikwenu?