Hivi 50,000 ni kavocha? samahani nauliza tu.
Si ndio ungeanza kumsalimia sasa?Najiamini ila pa kumuanza sasa c unajua hatujawahi ata salimiana
mimi cjui kutongoza
jamani nifikishieni ujumbe kwa Smile me nampenda nataka awe mke wangu. ila naogopa kumwambia. huu ndio black
ha ha ha we dada leo unarusha majibu ya uhakika nabaki nikicheka tu hapa:smile-big: