Jamani naomba tutaje maeneo ambayo yanaongoza kwa utapeli wa viwanja...

Jamani naomba tutaje maeneo ambayo yanaongoza kwa utapeli wa viwanja...

Mwanza, wilaya ya nyamagana -nyashishi

ukitaka kiwanja saivi uku ukae kitaalamu usije uziwa mbuzi kwenye gunia
 
Dodoma.....Dodoma......Dodoma......Dodoma.....Dodoma......Dodoma mjini.
 
Jamani naomba tutaje maeneo ambayo yanaongoza kwa utapeli wa viwanja...
-Tutaje jina la eneo, Kata na Wilaya husika
-Ushuhuda

Itasaidia kuwa tahadharisha watu,hasa wale wanunuzi wa mara ya kwanza wa viwanja.
1.KIBAHA, VIKAWE, MAPINGA,
2BAGAMOYO-KEREGE,ZINGA, KILOMO, MAKURUNGE, FUKAYOSI
3.KIGAMBONI-BUYUNI, YALE YALE, KIMBIJI
 
1.KIBAHA, VIKAWE, MAPINGA,
2BAGAMOYO-KEREGE,ZINGA, KILOMO, MAKURUNGE, FUKAYOSI
3.KIGAMBONI-BUYUNI, YALE YALE, KIMBIJI
Ni kweli watu wanatapeliwa sana kwa sababu wachache wao wanataka ardhi kwa bei nafuu ilhali thamani ya ardhi iko juu zaidi kwa mfano huo wa mkoa wa pwani wiliya ya bagamoyo
 
Ni kweli watu wanatapeliwa sana kwa sababu wachache wao wanataka ardhi kwa bei nafuu ilhali thamani ya ardhi iko juu zaidi kwa mfano huo wa mkoa wa pwani wiliya ya bagamoyo
WATU WANATAPELIWA KIRAHIS KWA SBB,
MAKUBALIANO YANAFANYIKA SERIKALI ZA VIJIJI, KAMA VIJIJI VYA KIMELE (PALE NI HARARI SANA)
KWA SBB, DIWANI, MWENYEKTI SERIKALI YA MTAA NI NDUGU, KABILA MOJA.

MWEZI JANUARY KLINIK YA ARDHI IMEPITA PALE KUNA WATU ZAIDI YA 80 WANAOHUSIKA NA UTAPELI WALKIKAMATWA, KISHA KUKABIDHIWA TAKUKULU.

KWA KIFUPI, WAHITAJI WA VIWANJA NA MASHAMBA, MKOA WA PWANI KUWENI MACHO.
MKURANGA NAKO KUNA TISHA!
 
WATU WANATAPELIWA KIRAHIS KWA SBB,
MAKUBALIANO YANAFANYIKA SERIKALI ZA VIJIJI, KAMA VIJIJI VYA KIMELE (PALE NI HARARI SANA)
KWA SBB, DIWANI, MWENYEKTI SERIKALI YA MTAA NI NDUGU, KABILA MOJA.

MWEZI JANUARY KLINIK YA ARDHI IMEPITA PALE KUNA WATU ZAIDI YA 80 WANAOHUSIKA NA UTAPELI WALKIKAMATWA, KISHA KUKABIDHIWA TAKUKULU.

KWA KIFUPI, WAHITAJI WA VIWANJA NA MASHAMBA, MKOA WA PWANI KUWENI MACHO.
MKURANGA NAKO KUNA TISHA!
Ndo maana tunawaambia kabla ya kununua kiwanja tafuta kampuni na uthibitishe kuwa ipo kihalali ili uepukane na utapeli
 
1.KIBAHA, VIKAWE, MAPINGA,
2BAGAMOYO-KEREGE,ZINGA, KILOMO, MAKURUNGE, FUKAYOSI
3.KIGAMBONI-BUYUNI, YALE YALE, KIMBIJI
Hahaha, huko Fukayose Kuna rafiki yangu alitapeliwa miaka mitatu nyuma...
Na u-born town wake wote, watu wakamnyoosha
 
Jamani naomba tutaje maeneo ambayo yanaongoza kwa utapeli wa viwanja...
-Tutaje jina la eneo, Kata na Wilaya husika
-Ushuhuda

Itasaidia kuwa tahadharisha watu,hasa wale wanunuzi wa mara ya kwanza wa viwanja.


Kata ya Mambwepande na Mitaa yake naona ndio vinara wengine wakifutia.
Kule kuna uvamizi wa maeneo ya watu sijapata kuona.
Kuna syndicate ya kuratibu wizi huo wa maeneo ya watu.
Halafu zamani walikuwa ukienda mwenye eneo halali wana kuvamia ml wanakudhalilisha, wanakuvua nguo unabaki uchi wa mnyama , wanakupiga mapanga n.k
Yaani wana mioyo ya kikatili sijapata kuona.
Wakanzisha matawi ya CCM ili kujificha kama mwamvuli lakini siku hizi wameshastukiwa na Serikali pamoja na vyombo vya ulinzi na usalama wa nchi kwa hila zao wazi wazi .
CCM ina mtani mkubwa wa wanachama haihitaji kutegemea kikundi cha watu wachache wahalifu.
Wamevamia kawakata vipande wakauzia watu chungu nzima.
Ni huzuni kwa kweli.
 
Kata ya Mambwepande na Mitaa yake naona ndio vinara wengine wakifutia.
Kule kuna uvamizi wa maeneo ya watu sijapata kuona.
Kuna syndicate ya kuratibu wizi huo wa maeneo ya watu.
Halafu zamani walikuwa ukienda mwenye eneo halali wana kuvamia ml wanakudhalilisha, wanakuvua nguo unabaki uchi wa mnyama , wanakupiga mapanga n.k
Yaani wana mioyo ya kikatili sijapata kuona.
Wakanzisha matawi ya CCM ili kujificha kama mwamvuli lakini siku hizi wameshastukiwa bila zao wazi wazi .
Wamevamia kawakata vipande wakauzia watu chungu nzima.
Ni huzuni kwa kweli.
Inaogopesha...
 
Back
Top Bottom