Baby Nimah
JF-Expert Member
- Oct 31, 2018
- 719
- 833
- Thread starter
- #101
Chura ya nn mkuu kwani umesikia najinadi?? Acha zako bhana mkuu watu tupo seriousChura ipo?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Chura ya nn mkuu kwani umesikia najinadi?? Acha zako bhana mkuu watu tupo seriousChura ipo?
Chura ya nn mkuu kwani umesikia najinadi?? Acha zako bhana mkuu watu tupo serious
mkuu kheri ya sikukuu
Kama haja tumiwa aseme tumuwekeye hapa mkuu ila pm hatuendi!
Uchafu ganiKwa uchafu niliiona dogo akiutoa huko nyuma kwako alipomaliza kukunanihii sitaki kukuona au kukusikia tena.
Hakuna wapenda Mavi huko uliko ukawauzia
Pole sanaHapana dada nimekwama yanii majii yamenifika shingoni me sipendi kijidhalilisha
AsantePole sana
Nimetumiwa mkuuIna maana hawajakutumia bado wanauliza maswali tu??
Case clossed!Nimetumiwa mkuu
Maskini hachagui zawadi. Toa namba hazarani wakupe pesa wenye nazoNjoo pm mkuu
Ahsante kwa kuwa mkweli as I believe you could easily lie. Kudos! You know I believe kwamba hii ni ID tu umeamua kutumia lakini wewe si yule wengi wetu tunaemdhania ndie. Ndio maana kwa moyo safi kabisa nkataka nkutumie but nice that good people are still out there.Nimetumiwa mkuu
Ahsante kwa kuwa mkweli as I believe you could easily lie. Kudos! You know I believe kwamba hii ni ID tu umeamua kutumia lakini wewe si yule wengi wetu tunaemdhania ndie. Ndio maana kwa moyo safi kabisa nkataka nkutumie but nice that good people are still out there.
Mi mwenyewe nilikuwa najiandaa kutuma hiyo 2000, ghafla nikaona kwamba smesema katumiwa.inatosha,angekuwa anahitaji zaidi angesema, sometimes unaweza kupata shida si kwamba masikini,mazingira tu unayokuwepo yanahitaji assist!Ahsante kwa kuwa mkweli as I believe you could easily lie. Kudos! You know I believe kwamba hii ni ID tu umeamua kutumia lakini wewe si yule wengi wetu tunaemdhania ndie. Ndio maana kwa moyo safi kabisa nkataka nkutumie but nice that good people are still out there.
Pole sana! Nimeliona hilo na pia kadhaa za wadau kwako. Usijali ndio maisha na itakuwa njema kama hakuna yoyote anaekujua mpaka sasa. Unaonekana ni jasiri sana. Namna ulivvyokuwa ukiyavumilia yale matusi na kejeli ni hatariNikwel mkuu nataka nibadili ID aikutegemea kama ingelete shida kiasi hiki
Wengi wanazani Mimi ndio yule
Owww!!!!Ahsante kwa kuwa mkweli as I believe you could easily lie. Kudos! You know I believe kwamba hii ni ID tu umeamua kutumia lakini wewe si yule wengi wetu tunaemdhania ndie. Ndio maana kwa moyo safi kabisa nkataka nkutumie but nice that good people are still out there.
Kabisa kabisa, juzi flani hivi nlikuwa Tanga. Nikachkua pikipiki ya mzee nkawa naelekea shamba asubuhi sana. Ile pikipiki iliniharibikia sehemu porini kidogo. Nlikuwa na 450,000 mfukoni lakini hazikufaa kitu maana ilibidi nitafute fundi aitengeneze. Gharama za fundi zilikuwa ni 3000 tu. Hapa ndio unaona kwamba sio kila anaesima asaidiwe kwa wakati flani anakuwa eti ni kapuku sana. Na hata kama ni kapuku, no vizuri watu kusaidianaMi mwenyewe nilikuwa najiandaa kutuma hiyo 2000, ghafla nikaona kwamba smesema katumiwa.inatosha,angekuwa anahitaji zaidi angesema, sometimes unaweza kupata shida si kwamba masikini,mazingira tu unayokuwepo yanahitaji assist!
Vipi tena bibie??Owww!!!!
Nimependa tuu !Vipi tena bibie??