Jamani natafuta kazi ya UPISHI Nimechoka kukaa nyumbani

Jamani natafuta kazi ya UPISHI Nimechoka kukaa nyumbani

AmKATRINA

JF-Expert Member
Joined
Jul 27, 2012
Posts
882
Reaction score
2,044
Jamani hali ngumu,

Mwenye uhitaji wa Mpishi wa kupika vyakula mbalimbali hebu tupeane connection.

Nimesoma Hotel Management pale DDC Kariakoo na kufanya kazi sehemu mbalimbali.

Nyumbani kunachosha sana. Mnataka tufe na njaa au?

Niko Dodoma mjini.

Hata kama wataka kupikiwa nyumbani kwako niko tayari.

Karibuni PM

Mnaosema kuhusu zile Milioni 50, Nilikuwa namuombea ushauri mtu wala hazikuwa pesa zangu zile.
Maana naona mnaanza🤭
 
Back
Top Bottom