Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 5,962
- 17,648
Siku nyingine usirudieHaya Samhani basi!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku nyingine usirudieHaya Samhani basi!!!
nimesomea pale zamani sanaNapajua mkuu
Wanafunzi 917Nilimuuliza wanafunzi wangapi?
Hakunijibu
Hata hii huenda itakuwa kamba tuSi ndio bhana
Naunga mkono hoja...🤨Inawezekana hata hii kazi ya upishi ni mtu unamuombea.
Humu jf kila mtu ana tatizo lake la akili, haipiti siku bila kuvunjana mbavu.Sijunyingine jaribu kuwa mkweli na muwazi tu mkuu, humu Jf kuna watu wema sana.
Kama hapa nina uhakika umesha jitia doa, hata kama palikua na mtu mwenye nia ya kukusaidia kiukweli tayari amesha kuweka kwenye aina ya kundi la vijana wasio waaminifu humu JamiiForums
Kweli kabisa watu wema wanapata wakati mgumu kusaidiaSijunyingine jaribu kuwa mkweli na muwazi tu mkuu, humu Jf kuna watu wema sana.
Kama hapa nina uhakika umesha jitia doa, hata kama palikua na mtu mwenye nia ya kukusaidia kiukweli tayari amesha kuweka kwenye aina ya kundi la vijana wasio waaminifu humu JamiiForums
Sawa nimekuelewa.Sijunyingine jaribu kuwa mkweli na muwazi tu mkuu, humu Jf kuna watu wema sana.
Kama hapa nina uhakika umesha jitia doa, hata kama palikua na mtu mwenye nia ya kukusaidia kiukweli tayari amesha kuweka kwenye aina ya kundi la vijana wasio waaminifu humu JamiiForums
We njaa haijakukamata vizuri badoDoh, siwezi.
Wali sawa.
Ila huu ugali ni mkubwa sana
Nitapata ulemavu wa mikono
NadhaniHata hii huenda itakuwa kamba tu
nipe namba zako inbox..Sawa
Uko below 35years?Kwa kusonga ugali hao wengi sana.
Kwa wali sawa ila ugali sitaweza
Basi utapika uji wa watoto wa chekecheaDoh, siwezi.
Wali sawa.
Ila huu ugali ni mkubwa sana
Nitapata ulemavu wa mikono