Balvejmumt
JF-Expert Member
- Aug 10, 2015
- 2,224
- 2,938
Amna Dada, kunayo nafasi kwenye taasisi inayohudumia kuanzia kindergarten mpaka college hizo ....Ndio siwezi kusonga ugali wa watu wa idadi hiyo.
Na niko Above 35.
Sijui unahitaji nini kingine?
Maana kusema ukweli ndio unageuka mwiba kwangu au?
Na idadi ya wahudumiwa ni zaidi ya 1200 ...
Kuna kijana kaondoka na tulihitaji kuziba gap hilo...
Ila asante Boss wangu 🙏