Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio usahili unaaanzaukianza kupika mboga kama mchuzi wa nyama unanza vipi hebu nipe mchanganuo wake
Dada nimejifunza vitu vingi kwako...Afu wewe inaonekana ni dalali.
Nipe namba ya boss wako anipe kazi.
Au mnatak nianze kudanga?
Una 50m kazi ya nini? Hio hela tukijoin forces mwisho wa mwaka tuna kama 200mMnanikera.
Nipeni kazi ili hasira zishuke
..nitumie CV yako, nahitaji mdada housekeeper cum cook, on one year term contract, residence itakuwa at work place.Jamani hali ngumu,
Mwenye uhitaji wa Mpishi wa kupika vyakula mbalimbali hebu tupeane connection.
Nimesoma Hotel Management pale DDC Kariakoo na kufanya kazi sehemu mbalimbali.
Nyumbani kunachosha sana. Mnataka tufe na njaa au?
Niko Dodoma mjini.
Hata kama wataka kupikiwa nyumbani kwako niko tayari.
Karibuni PM
Mnaosema kuhusu zile Milioni 50, Nilikuwa namuombea ushauri mtu wala hazikuwa pesa zangu zile.
Maana naona mnaanza🤭
Na mimi nimemshangaa sanakuitolea njeWe nae tumia akili. Kubali hiyo kazi ya kusonga ugali. Kama ujira ni 500,000, unatafuta kijeba mwenye nguvu unamuajiri kwa 200,000 yeye anasonga wewe unamsimamia.
Kwenda kalale hukoDada nimejifunza vitu vingi kwako...
Hakuna sehemu yeyote niliyo react kwa kukuonyesha ukorofi au ujuaji... Nimekuuliza maswali sensitive ambayo ninaamini tunaweza kupata tunachokihitaji au ukapata msaada si kwangu tu' Bali kwa yeyote yule...
Maana katika details zako hakuna sehemu yeyote umeonyesha limit ya upishi wako, kuwa unaweza kupika nini na kwa idadi gani...
Next time, usipanic jifunze kushusha hasira zako au jazba ulizo nazo...
Am out 🙏🤝
Afu wewe inaonekana ni dalali.
Nipe namba ya boss wako anipe kazi.
Au mnatak nianze kudanga?
elezea kwa ufupiInamaana mpaka umri huu nisijue kupika mchuzi wa nyama?
Uko serious kweli we Dr?
Kinga zipoView attachment 3229506
Udange kwa tahadhari 👆
amekutangaza Kimafumbo sana eti ulimfuata PMKanipiga kibuti mkuu.
Mfano akapata mimba akasema yako vip kazi ataendelea ata acha mkuu..nitumie CV yako, nahitaji mdada housekeeper cum cook, on one year term contract, residence itakuwa at work place.
una hasira kama vile umeachiwa watoto ulee mwenyewe (single mother)Mnanikera.
Nipeni kazi ili hasira zishuke
SawaKinga zipo
ephen_ msikieKwenda kalale huko
Huna la maana la kuniambia na kazi zenu sizitaki.
Kwani bila kazi siishi?
Maana naona kama umetumwa.
Nami Am Out too!!
taratibu tutamjua mpishi na kishoka hasa akipewa jukumu la kupika chapatiNdio usahili unaaanza