Jamani natafuta kazi ya UPISHI Nimechoka kukaa nyumbani

Jamani natafuta kazi ya UPISHI Nimechoka kukaa nyumbani

Afu wewe inaonekana ni dalali.
Nipe namba ya boss wako anipe kazi.
Au mnatak nianze kudanga?
Dada nimejifunza vitu vingi kwako...

Hakuna sehemu yeyote niliyo react kwa kukuonyesha ukorofi au ujuaji... Nimekuuliza maswali sensitive ambayo ninaamini tunaweza kupata tunachokihitaji au ukapata msaada si kwangu tu' Bali kwa yeyote yule...

Maana katika details zako hakuna sehemu yeyote umeonyesha limit ya upishi wako, kuwa unaweza kupika nini na kwa idadi gani...

Next time, usipanic jifunze kushusha hasira zako au jazba ulizo nazo...

Am out 🙏🤝
 
Jamani hali ngumu,

Mwenye uhitaji wa Mpishi wa kupika vyakula mbalimbali hebu tupeane connection.

Nimesoma Hotel Management pale DDC Kariakoo na kufanya kazi sehemu mbalimbali.

Nyumbani kunachosha sana. Mnataka tufe na njaa au?

Niko Dodoma mjini.

Hata kama wataka kupikiwa nyumbani kwako niko tayari.

Karibuni PM

Mnaosema kuhusu zile Milioni 50, Nilikuwa namuombea ushauri mtu wala hazikuwa pesa zangu zile.
Maana naona mnaanza🤭
..nitumie CV yako, nahitaji mdada housekeeper cum cook, on one year term contract, residence itakuwa at work place.
 
Dada nimejifunza vitu vingi kwako...

Hakuna sehemu yeyote niliyo react kwa kukuonyesha ukorofi au ujuaji... Nimekuuliza maswali sensitive ambayo ninaamini tunaweza kupata tunachokihitaji au ukapata msaada si kwangu tu' Bali kwa yeyote yule...

Maana katika details zako hakuna sehemu yeyote umeonyesha limit ya upishi wako, kuwa unaweza kupika nini na kwa idadi gani...

Next time, usipanic jifunze kushusha hasira zako au jazba ulizo nazo...

Am out 🙏🤝
Kwenda kalale huko
Huna la maana la kuniambia na kazi zenu sizitaki.
Kwani bila kazi siishi?

Maana naona kama umetumwa.
Nami Am Out too!!
 
Afu wewe inaonekana ni dalali.
Nipe namba ya boss wako anipe kazi.
Au mnatak nianze kudanga?
Screenshot_20250208-211217~2.jpg

Udange kwa tahadhari 👆
 
Back
Top Bottom