Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukimaliza Kula chakula unakula na mpishi.....unabana matumiziHaya mabachela, mmepata mpishi
Halafu upishi ni kipaji, maana unaambatana na subira, vuta picha umepika pilau nyama saafi halafu huli hMwachiluwi anapika sio mchezo
Noma sanaaHalafu upishi ni kipaji, maana unaambatana na subira, vuta picha umepika pilau nyama saafi halafu huli hadi like hadi uanze kuandaa, juisi sijuwi sharubati 😆😆🤣😂 hicho ni kipaji
Kapandishwa hasira huko sijuwi atakubali! Ngoja nimuite AmKATRINA unaitwa pm na Mwachiluwi mukaliongee vizuri hili jambo.Mwambie akuje pm
Atakuja na kisiraani shidaKapandishwa hasira huko sijuwi atakubali! Ngoja nimuite AmKATRINA unaitwa pm na Mwachiluwi mukaliongee vizuri hili jambo.
Kama upo Dodoma kajaribu Midland hotel_Kisasa,utakuja kunishukuru!Jamani hali ngumu,
Mwenye uhitaji wa Mpishi wa kupika vyakula mbalimbali hebu tupeane connection.
Nimesoma Hotel Management pale DDC Kariakoo na kufanya kazi sehemu mbalimbali.
Nyumbani kunachosha sana. Mnataka tufe na njaa au?
Niko Dodoma mjini.
Hata kama wataka kupikiwa nyumbani kwako niko tayari.
Karibuni PM
Mnaosema kuhusu zile Milioni 50, Nilikuwa namuombea ushauri mtu wala hazikuwa pesa zangu zile.
Maana naona mnaanza🤭
But I am single old man still searching..nitumie CV yako, nahitaji mdada housekeeper cum cook, on one year term contract, residence itakuwa at work place.
Na hili tuliache hapa?We haya ya mtandaoni.
Yaache hapahapa mkuu.
Kuna mtu nilikuwa namuombea ushauri
Njoo pm tukubalianeAcheni masikhara
Si ndio mfungue hotel uwe lipishi!We haya ya mtandaoni.
Yaache hapahapa mkuu.
Kuna mtu nilikuwa namuombea ushauri
Jiwe moja ndege wawili chaliBut I am single old man still searching
Yah, for a good reasonJiwe moja ndege wote chali
Uongo mbaya,haya ndio malipo yake!Hebu nipeni kazi, mbona mnanimaliza nguvu jamani?
Alijibu544Nilimuuliza wanafunzi wangapi?
Hakunijibu
makutupora uje utie neno, Kuna kazi huku.View attachment 3229507
Aise uorodheshe majina ya jobless wote unipatie kwajili ya hio harakati hapo juu itaanza 15_feb
Aliyekwbia huyo ni mwanamke ni nani hadi umuite dada? Hahahhahahaha Jf hatari sana😂😂😂🤓🤓🤓🤣🤣🤣
AmKATRINA shida ni nini Dada? Wiki mbili Zilizopita ukienda Pemba kuaguliwa kwa Mtaalamu, wiki iliyopita ukaja na uzi una 50 Milion na wiki hii unatafuta kazi ya upishi, mbona haueleweki?
Watu wanakuona kama unafanya maigizo aisee halafu huu mtandao una watu wema na wenye roho nzuri sana japo huwa hawa comment lakini wakiona jambo lilokuwa ndani ya uwezo wake anakuwa PM fasta.
Jaribu kuwa serious aisee kwenye mambo yanayohusu ustawi wa maisha yako.
Kwamba ni kaka au 😂? Umejuaje Mkuu kama AmKATRINA sio dyadyaaaaa?Aliyekwbia huyo ni mwanamke ni nani hadi umuite dada? Hahahhahahaha Jf hatari sana😂😂😂🤓🤓🤓