Jamani natafuta kazi ya UPISHI Nimechoka kukaa nyumbani

Jamani natafuta kazi ya UPISHI Nimechoka kukaa nyumbani

Unaweza ukafanya kazi miaka mingapi ndio ukaniacha Mana bana binadamu anabadilika mno ndio mana anahitaji katiba, zile amri za Mungu , yaani unaweza ukapata dili la kulipwa milioni hotel ya kitalii ukaniacha hapa na sijarudisha hela yangu.
Mie napanga fremu kabisa
Nimeshakutumia maelezo kule.
 
Nimeshakutumia maelezo kule.
Kama utaelewana na eagle ni sawa ila nenda kama mpishi na si Kila kitu usimamie wewe, biashara huwa inadoda kama haijaenda vizur mtaji ukakata nani atawajibika muweke sawa suala Hilo, Ili hata mkianza kazi usimamie kama mpishi mzur tu la sivyo muwe na mda wa majaribio kuona location kama inafaa ama vipi, huo ni ushaur tu, maana hapo ni kama unanunuliwa gar upeleke hesabu, ukishindwa umemwingiza mwenzako hasara.
 
Kama utaelewana na eagle ni sawa ila nenda kama mpishi na si Kila kitu usimamie wewe, biashara huwa inadoda kama haijaenda vizur mtaji ukakata nani atawajibika muweke sawa suala Hilo, Ili hata mkianza kazi usimamie kama mpishi mzur tu la sivyo muwe na mda wa majaribio kuona location kama inafaa ama vipi, huo ni ushaur tu, maana hapo ni kama unanunuliwa gar upeleke hesabu, ukishindwa umemwingiza mwenzako hasara.
Sawa, asante sana kwa kunielewesha.
Nitamtaarifu na hili pia.
Shukrani.
 
Jamani hali ngumu,

Mwenye uhitaji wa Mpishi wa kupika vyakula mbalimbali hebu tupeane connection.

Nimesoma Hotel Management pale DDC Kariakoo na kufanya kazi sehemu mbalimbali.

Nyumbani kunachosha sana. Mnataka tufe na njaa au?

Niko Dodoma mjini.

Hata kama wataka kupikiwa nyumbani kwako niko tayari.

Karibuni PM

Mnaosema kuhusu zile Milioni 50, Nilikuwa namuombea ushauri mtu wala hazikuwa pesa zangu zile.
Maana naona mnaanza🤭
Una uzoefu wa kutumia Oven?
 
1.Mkuu kazi yani kazi utakayofanya ni upishi tu au kazi zote kiujumla za ndani kama kufua,kusafisha nyumba,kusafisha vyombo na kupika.
2.Je,unataka sehemu utakayokuwa unaenda kufanya kazi na kurudi kwenu au kukaa hapo hapo.
3.Kama utakuwa unafanya kazi na kurudi home,mshahara utahitaji wa range ngapi na kama unatakuwa unaishi kwa mwajiri wako range yako ya mshahara ni ngapi??
4.Una kiwango gani cha elimu na unamiaka mingapi,na je una mtoto??
 
Una uzoefu wa kutumia Oven?
Kiukweli uzoefu wa kutumia oven sina kivile.
Ila ninachojua sanasana ni ku bake cake na nyama.
Na setting za moto kwa baadhi ya vyakula huwa sina ujuzi nao
 
Jamani hali ngumu,

Mwenye uhitaji wa Mpishi wa kupika vyakula mbalimbali hebu tupeane connection.

Nimesoma Hotel Management pale DDC Kariakoo na kufanya kazi sehemu mbalimbali.

Nyumbani kunachosha sana. Mnataka tufe na njaa au?

Niko Dodoma mjini.

Hata kama wataka kupikiwa nyumbani kwako niko tayari.

Karibuni PM

Mnaosema kuhusu zile Milioni 50, Nilikuwa namuombea ushauri mtu wala hazikuwa pesa zangu zile.
Maana naona mnaanza🤭
Una miaka mingap maan mpak Leo npo single najipikia mwenyewe 😀 😀 hivyo unawez fix iyo nafasi npe sifa zako tuuh mshaara utaanza kweyposa Kisha mahali na malupulupu Kilasiku 10 Aya kazi kwako
 
Jamani hali ngumu,

Mwenye uhitaji wa Mpishi wa kupika vyakula mbalimbali hebu tupeane connection.

Nimesoma Hotel Management pale DDC Kariakoo na kufanya kazi sehemu mbalimbali.

Nyumbani kunachosha sana. Mnataka tufe na njaa au?

Niko Dodoma mjini.

Hata kama wataka kupikiwa nyumbani kwako niko tayari.

Karibuni PM

Mnaosema kuhusu zile Milioni 50, Nilikuwa namuombea ushauri mtu wala hazikuwa pesa zangu zile.
Maana naona mnaanza🤭
Tako titi lipo uje kwangu unipikie
 
Back
Top Bottom