Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nimeshakutumia maelezo kule.Unaweza ukafanya kazi miaka mingapi ndio ukaniacha Mana bana binadamu anabadilika mno ndio mana anahitaji katiba, zile amri za Mungu , yaani unaweza ukapata dili la kulipwa milioni hotel ya kitalii ukaniacha hapa na sijarudisha hela yangu.
Mie napanga fremu kabisa
Kama utaelewana na eagle ni sawa ila nenda kama mpishi na si Kila kitu usimamie wewe, biashara huwa inadoda kama haijaenda vizur mtaji ukakata nani atawajibika muweke sawa suala Hilo, Ili hata mkianza kazi usimamie kama mpishi mzur tu la sivyo muwe na mda wa majaribio kuona location kama inafaa ama vipi, huo ni ushaur tu, maana hapo ni kama unanunuliwa gar upeleke hesabu, ukishindwa umemwingiza mwenzako hasara.Nimeshakutumia maelezo kule.
Sawa, asante sana kwa kunielewesha.Kama utaelewana na eagle ni sawa ila nenda kama mpishi na si Kila kitu usimamie wewe, biashara huwa inadoda kama haijaenda vizur mtaji ukakata nani atawajibika muweke sawa suala Hilo, Ili hata mkianza kazi usimamie kama mpishi mzur tu la sivyo muwe na mda wa majaribio kuona location kama inafaa ama vipi, huo ni ushaur tu, maana hapo ni kama unanunuliwa gar upeleke hesabu, ukishindwa umemwingiza mwenzako hasara.
Una uzoefu wa kutumia Oven?Jamani hali ngumu,
Mwenye uhitaji wa Mpishi wa kupika vyakula mbalimbali hebu tupeane connection.
Nimesoma Hotel Management pale DDC Kariakoo na kufanya kazi sehemu mbalimbali.
Nyumbani kunachosha sana. Mnataka tufe na njaa au?
Niko Dodoma mjini.
Hata kama wataka kupikiwa nyumbani kwako niko tayari.
Karibuni PM
Mnaosema kuhusu zile Milioni 50, Nilikuwa namuombea ushauri mtu wala hazikuwa pesa zangu zile.
Maana naona mnaanza🤭
Sasa kwenye ile million 50 ya uliyemuombea ushauri wewe umelamba shilling ngapi?Mnaosema kuhusu zile Milioni 50, Nilikuwa namuombea ushauri mtu wala hazikuwa pesa zangu zile.
Maana naona mnaanza🤭
Una miaka mingap maan mpak Leo npo single najipikia mwenyewe 😀 😀 hivyo unawez fix iyo nafasi npe sifa zako tuuh mshaara utaanza kweyposa Kisha mahali na malupulupu Kilasiku 10 Aya kazi kwakoJamani hali ngumu,
Mwenye uhitaji wa Mpishi wa kupika vyakula mbalimbali hebu tupeane connection.
Nimesoma Hotel Management pale DDC Kariakoo na kufanya kazi sehemu mbalimbali.
Nyumbani kunachosha sana. Mnataka tufe na njaa au?
Niko Dodoma mjini.
Hata kama wataka kupikiwa nyumbani kwako niko tayari.
Karibuni PM
Mnaosema kuhusu zile Milioni 50, Nilikuwa namuombea ushauri mtu wala hazikuwa pesa zangu zile.
Maana naona mnaanza🤭
Umenena vyemaSikunyingine jaribu kuwa mkweli na muwazi tu mkuu, humu Jf kuna watu wema sana.
Kama hapa nina uhakika umesha jitia doa, hata kama palikua na mtu mwenye nia ya kukusaidia kiukweli tayari amesha kuweka kwenye aina ya kundi la vijana wasio waaminifu humu JamiiForums
Dah😂😂sijaja inbox usitujumlishe JF nzima..
malizaneni huko huko PM usiyalete hapa jukwaani..
Ila we jamaaUna 50m kazi ya nini? Hio hela tukijoin forces mwisho wa mwaka tuna kama 200m
Tako titi lipo uje kwangu unipikieJamani hali ngumu,
Mwenye uhitaji wa Mpishi wa kupika vyakula mbalimbali hebu tupeane connection.
Nimesoma Hotel Management pale DDC Kariakoo na kufanya kazi sehemu mbalimbali.
Nyumbani kunachosha sana. Mnataka tufe na njaa au?
Niko Dodoma mjini.
Hata kama wataka kupikiwa nyumbani kwako niko tayari.
Karibuni PM
Mnaosema kuhusu zile Milioni 50, Nilikuwa namuombea ushauri mtu wala hazikuwa pesa zangu zile.
Maana naona mnaanza🤭
Si uchonganishi huu lakini🤒😂😂😂😂amekutangaza Kimafumbo sana eti ulimfuata PM
Vipi binti kuna nini?Ila we jamaa
Unamkumbushaje mambo ya zamani🤒Vipi binti kuna nini?
Nyie watu mnatoaga wapi maneno khaa😂😂😂😂Njoo nikupige miti
Nilichanganya uzi. I was just mentioned.Unamkumbushaje mambo ya zamani🤒