Naweza nikafungua mama ntilie usimamie ama utanikimbia Mana nakufungulia wewe baadaye itakuwa unanilipa wewe , yaani Kila kitu nakupa labda nakuambia uwe unanipa let say 10k per day, unajua kupika Yale mapishi ya kitanga, naweza nitakufungulia baadaye ukanikimbia huku bado hela ya gu haijarudi. Inatakiwa uje uwe unawapikia wasukuma mpaka wanajilamba kidole kwa utamu. Sijajua Kama uko committed kiasi gani, Mana binadamu anabadilika fasta mno, yaani tokea nijue ubongo wa binadamu namuogopa kiumbe binadamu Ila pia ni mzuri,
Mie sintokuwa nakusimamia ujisimamie mwenyewe, yaani nalipia fremu,vyombo na chakula nanunua baadaye Sasa ndio unakuja utundu wako wa kuwavutia wateja wako, sijajua Kama unalo umbo na sura ambayo mteja anakula chakula anafurahi ama akikuona tu chakula kinashuka na anafurahi