Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kashatoa angalizo mkuu🤣🤣Wewe juzi si ulisema mumegawana milion 50 kila mtu nyumban kwenu hivyo unaomba ushauri uifanyie nini? Kumbe ulichosha watu bure siyo?
Hauko serious... Wakati mwingine tunaweza kutaja idadi ili tupime uwezo na utendaji kazi wako...Above 35
We nae tumia akili. Kubali hiyo kazi ya kusonga ugali. Kama ujira ni 500,000, unatafuta kijeba mwenye nguvu unamuajiri kwa 200,000 yeye anasonga wewe unamsimamia.Kwa kusonga ugali hao wengi sana.
Kwa wali sawa ila ugali sitaweza
Mswahili huyu huenda atakuwa mndengereko huyuKashatoa angalizo mkuu🤣🤣
Hayupo serious kivipi wakati amekua mkweli kusema hawezi!Hauko serious... Wakati mwingine tunaweza kutaja idadi ili tupime uwezo na utendaji kazi wako...
Asante sana 🤝 naamini watakupatia wengine
Sasa nitasemaje niko below 35 wakati niko above 35?Hauko serious... Wakati mwingine tunaweza kutaja idadi ili tupime uwezo na utendaji kazi wako...
Asante sana 🤝 naamini watakupatia wengine
Sasa huyo ukiyemuombea ushauri si afungue mgahawa halafu wewe uwe mpishi hapoMnaosema kuhusu zile Milioni 50, Nilikuwa namuombea ushauri mtu wala hazikuwa pesa zangu zile.
Maana naona mnaanza🤭
🤣🤣Mswahili huyu huenda atakuwa mndengereko huyu
Sizungumzii umri, nimetaja idadi ya unaotakiwa kuwa hudumia... Ukasema huwezi labda uwapikie wali ndio maana nikarejea kwenye kuhitaji umri wakoSasa nitasemaje niko below 35 wakati niko above 35?
Je, nikidanganya kisha mwisho wa siku tukaonana live itakuwaje?
Wewe kama umeamua kunikunjia sawa, ila mimi niko serious kabisa mkuu
Pemba kweli nilienda na mashahidi wapo🤣🤣🤣
AmKATRINA shida ni nini Dada? Wiki mbili Zilizopita ukienda Pemba kuaguliwa kwa Mtaalamu, wiki iliyopita ukaja na uzi una 50 Milion na wiki hii unatafuta kazi ya upishi, mbona haueleweki?
Watu wanakuona kama unafanya maigizo aisee halafu huu mtandao una watu wema na wenye roho nzuri sana japo huwa hawa comment lakini wakiona jambo lilokuwa ndani ya uwezo wake anakuwa PM fasta.
Jaribu kuwa serious aisee kwenye mambo yanayohusu ustawi wa maisha yako.
Nimesha mpa akili, hatuwezi kumfundisha kila kitu.Hayupo serious kivipi wakati amekua mkweli kusema hawezi!
Je angekubali halafu aje huko ashindwe kupika kwa hiyo idadi si ungemlaumu.
Ndio siwezi kusonga ugali wa watu wa idadi hiyo.Sizungumzii umri, nimetaja idadi ya unaotakiwa kuwa hudumia... Ukasema huwezi labda uwapikie wali ndio maana nikarejea kwenye kuhitaji umri wako