Kwanini unichoshe Mimi kutoa ushauri wa kimungu bure?We haya ya mtandaoni.
Yaache hapahapa mkuu.
Kuna mtu nilikuwa namuombea ushauri
Alikua anawatega wadangaji wa jf na pm yake mlijaa.We juzi si ulisema una 50M au?
Nkakuitia mpaka biznez ya sheli kumbe huna mia🥶
Hamna kuna uzi nimtag wa jamaa alikua anapangisha sheli 8M per monthAlikua anawatega madanga ya jf na pm yake mlijaa.
Kila mmoja humu nusu tajiri nusu masikiniWe juzi si ulisema una 50M au?
Nkakuitia mpaka biznez ya sheli kumbe huna mia🥶
Bro wengine vicheko viko karibuWe juzi si ulisema una 50M au?
Nkakuitia mpaka biznez ya sheli kumbe huna mia🥶
halafu akajifanya sina idea na hiyo biznezKila mmoja humu nusu tajiri nusu masikini
Hana mia kweli...si unaona sahivi anatafua mishe ya upishiBro wengine vicheko viko karibu
Et huna mia
Zilikuwa kamba tu zile
Umesamehewa mayooNISAMEHE!!
Aombae masamaha, husamehewa.