Jamani natafuta Mume

Hata huyo ulie nae wa maisha lazima alitanguliza kadi ya chama. .
Mana sio kwa unazi huooooo

πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
Uwiiiiiiiii

Wala hayupo kwenye ya siasa kabisaaaaa.
 
Duuu, kumbe kweli Bashite anapakatwa...umeamua kuolewa kabisa? Ila Tanzania si inakataza ndoa za jinsia moja?
 

Eeeeeh
Kumbe mnapenda picha.. ndio maana wengi wenu mnatumiwa za uongo na siku ya siku mnabaki kulalamika
 
Kanajiamini nyuma ya key board Ila face to face mweupe kama karatasi tu
 
Eeeeeh
Kumbe mnapenda picha.. ndio maana wengi wenu mnatumiwa za uongo na siku ya siku mnabaki kulalamika
Iko'ivi chanel, mtu kupost picha feki ujue hayupo serious ama yupo kibiashara.
Hii inakuwa kama hadithi za kujaladia misponji, inakera kuja kutambua ukweli umelishwa tango pori baada ya kumvua mtu!
Tokelezea ulivyo, ili mtu atathimini mwenyewe majaaliwa ya M/Mungu kiroho safi bila kufekisha chochote.
Wewe mmoja umetangaza nia, lakini pm zaweza kufurika. Nawe sasa utawathamanisha hao wagombea binafsi kisha upige kura yako ya ndiyo kwa kuringa.
Ujue hakuna mtu mwenye sura mbaya duniani, kila sura lazima kuna mtu anaisorolea.
Sasa unapigia "dunia" ya gizani, halafu siku ya kukutana inakuwa lawama. Kadhia yote hiyo ya nini?
Kwani umesahau enzi za pen pal ilikuwaje? Ambapo watu walikuwa wanapata wenza kwa mapichapicha kama nilivyoeleza hapo juu.
 
Khaaaa mbona tunarushana roho... Mimi hata wa ACT TLP CHAUMA wote nabeba
 
Kuna wanawake wanafaa kuoa ila sio wewe! Wewe hujitambui! soon unakwenda kuwa Bibi.

Acha kujipendekeza pendekeza kwanza then rudi humu..
 
Unategemea watu watasoma Uzi wote?hiyo verse ya mwisho hawataifikia and hope huko PM kuna jambo.
 
Coco channel ni pm please nikupe namba yangu nipo separated

Pole jaribu kutarudisha
Mimi si PM mtu
Weka namba wanawake wengi michuma wataichukua wakupigie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…