cocochanel
Platinum Member
- Oct 6, 2007
- 27,885
- 76,043
- Thread starter
-
- #101
Khaaaa mbona tunarushana roho... Mimi hata wa ACT TLP CHAUMA wote nabeba
Kuna wanawake wanafaa kuoa ila sio wewe! Wewe hujitambui! soon unakwenda kuwa Bibi.
Acha kujipendekeza pendekeza kwanza then rudi humu..
hii ofa ni nzuri shida tu huwa hatutafutwi tunatafuta kwanza demu wa kugida halafu baadaye anakuwa mke kama mambo yakienda sawaBasi ndio hivyo natafuta MUME atakayetoka humu JF.. ili niishi mbeleni na JF rohoni pamoja na mwanaume wewe.. uje nikudekeze usikie raha ambazo hujawahi kusikia maishani mwako.. kwa zaidi..
Karibuni vigezo nitakupatia ukinipa namba yako ya simu sitaki vimeseji uchwara PM. Siasa haihusiki hapa..
Ila mnaonisifiaga kwa nondo zangu PM.. mzidi kubarikiwa. Nawaringishia wanaopenda kuninukuu humu na upupwu wao.
Eeeh nimefikiria tu kama ningekuwa sina wangu wa milele na milele.. halafu nikarusha tangazo hilo love connect huko.. naamini mngemwagika na kunirushia namba zenu bila kufikiria mara mbili.
πππ
π
Mimi nimekuja nataka kukuwowaBasi ndio hivyo natafuta MUME atakayetoka humu JF.. ili niishi mbeleni na JF rohoni pamoja na mwanaume wewe.. uje nikudekeze usikie raha ambazo hujawahi kusikia maishani mwako.. kwa zaidi..
Karibuni vigezo nitakupatia ukinipa namba yako ya simu sitaki vimeseji uchwara PM. Siasa haihusiki hapa..
Ila mnaonisifiaga kwa nondo zangu PM.. mzidi kubarikiwa. Nawaringishia wanaopenda kuninukuu humu na upupwu wao.
Eeeh nimefikiria tu kama ningekuwa sina wangu wa milele na milele.. halafu nikarusha tangazo hilo love connect huko.. naamini mngemwagika na kunirushia namba zenu bila kufikiria mara mbili.
πππ
π
We hata bure sichukuwa just bcoz we ni gambaBasi ndio hivyo natafuta MUME atakayetoka humu JF.. ili niishi mbeleni na JF rohoni pamoja na mwanaume wewe.. uje nikudekeze usikie raha ambazo hujawahi kusikia maishani mwako.. kwa zaidi..
Karibuni vigezo nitakupatia ukinipa namba yako ya simu sitaki vimeseji uchwara PM. Siasa haihusiki hapa..
Ila mnaonisifiaga kwa nondo zangu PM.. mzidi kubarikiwa. Nawaringishia wanaopenda kuninukuu humu na upupwu wao.
Eeeh nimefikiria tu kama ningekuwa sina wangu wa milele na milele.. halafu nikarusha tangazo hilo love connect huko.. naamini mngemwagika na kunirushia namba zenu bila kufikiria mara mbili.
πππ
π
Coco channel acha mchezo ushawah kuona bandiko linalokuhusu humu walau siku moja?
Anatafutwa mtu hapo...!Intelijensia yako uliyotumia ni ndogo sana...!Ilaa watakuja tu
Sawa ,,nmekuelewa ,,Ujue Mungu hamtupi mja wake .... Binadam wote tu Mali yake lkn Bimadamu wale wanaomtegemea zaidi ndo hufaidika naye zaidi.
Hiiii inamaana unaweza kua nawatoto watatu lkn mmoja tuu ndo ukampenda sana .lkn pia inatuonyesha kua ,, Mbali nawote kua wanaume Unapaswa uanze na upande uliopo wewe.....embu tupe kwanza nafasi sisi makada wenzako ..ukikosa ndo uende uko !!
Naamin hiii itakuondolea kero namigogoro isokua natija toka kwahao jamaa!!!.
Asikuambie mtu bana ,,oana namtu ambaye mnafanana had kiitikadi ,,utafurahia sana...Leo mnaamua mvae wote sare za chama[emoji8][emoji8][emoji8].
Here is my number let talk !!!.
011-7-812-653-03-12...
Mi wanawake wenye mdomo kama chuchunge siwapendi.
Habari tupo kitandani unaanza kunihadithia story za magufuli. Mi nataka huo ujinga
anatafutwa mtu amwagiwe risasi 30 nyingine.Basi ndio hivyo natafuta MUME atakayetoka humu JF.. ili niishi mbeleni na JF rohoni pamoja na mwanaume wewe.. uje nikudekeze usikie raha ambazo hujawahi kusikia maishani mwako.. kwa zaidi..
Karibuni vigezo nitakupatia ukinipa namba yako ya simu sitaki vimeseji uchwara PM. Siasa haihusiki hapa..
Ila mnaonisifiaga kwa nondo zangu PM.. mzidi kubarikiwa. Nawaringishia wanaopenda kuninukuu humu na upupwu wao.
Eeeh nimefikiria tu kama ningekuwa sina wangu wa milele na milele.. halafu nikarusha tangazo hilo love connect huko.. naamini mngemwagika na kunirushia namba zenu bila kufikiria mara mbili.
πππ
π
Pole coco..wanaume wa jf hawataki ma single mamaEeeeeh
Kwa hiyo wanangu unafikiri wana akili hizo
Ha haaaa mbavu zangu...
Wako wamejaaa uUKAWA basi.