Jamani natafuta Mume

Kuna wanawake wanafaa kuoa ila sio wewe! Wewe hujitambui! soon unakwenda kuwa Bibi.

Acha kujipendekeza pendekeza kwanza then rudi humu..

Ha ha haaaaaa
Kwa avatar yako lazima umevuta miaka mingi sana unaishia kufikiri na mimi kama wewe...

Hazeeki mtu hapa... kujipenda muhimu sanaaaa.
 
Unataka kutuambia kuwa Lumumba street hakuna hata mmoja anayefaa??
 
hii ofa ni nzuri shida tu huwa hatutafutwi tunatafuta kwanza demu wa kugida halafu baadaye anakuwa mke kama mambo yakienda sawa
 
Mimi nimekuja nataka kukuwowa
 
We hata bure sichukuwa just bcoz we ni gamba
 
mie namba yangu 9 nafunga magoli ya ajabu kama lukaku
 
Anatafutwa mtu hapo...!Intelijensia yako uliyotumia ni ndogo sana...!Ilaa watakuja tu

Wewe ndio bomu kabisa kaa chini ujicheke halafu ujipige vibao ulie kwa kuhuona unazo halafu umekula mwelekaπŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 

Unipokee nikija kuchukua kadi siku nikiamua kama sitaona uvivu..

Nicheke tu nipite..
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Mi wanawake wenye mdomo kama chuchunge siwapendi.
Habari tupo kitandani unaanza kunihadithia story za magufuli. Mi nataka huo ujinga

πŸ˜€πŸ˜€
Utakuwa na bahati mbaya inayosababishwa na kitu upande wako akijipi hadi unawaboa.
 
anatafutwa mtu amwagiwe risasi 30 nyingine.
 
Hao wanaokusifiaga kwa nondo inabidi wakapimwe akili ...
 
Kwa jinsi ulivyoandika inaonyesha ni ile ya kuambiwa ebu panda araka araka nataka kulala mimi kesho nawahi kazini.
 
Ukioa huyu jiandae kuzaa mtoto mwenye IQ zero kama bashite....yaani kila mtihani atakuwa anafeli tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…