TehHa ha haaaaaaa
Daby tulia baba wa familia kama nilivyotulia mama mie π
kwa mawazo yako naweza kuwa adui na wewe?
kunausemi unasema ukibishana na MPUMBAVU na wewe utakuwa MPUMBAVU.
Mimi kuwa na uadui na wewe ni kujishushia hadhi.
NAKUTAKIA KILA L A HERI UPATE BWANA akuondoe upweke na stress zaku ZALISHWA bila kuolewa wakati wadogo zako wako ndani ya NDOA.
ila upunguze USWAHILI Utapata bwana atakae kuvumilia na watoto wako.
ushamkosa mume atafutiwi hivyo dada
Mpaka Sasa Umempata Au Kuna Dalili Ya Kumpata......???Eeeeeeeh
Nitarudi tena na maombi tena kama nikiwa sina niliyenaye..
Na wewe unamfukuzia coco!!![emoji15] [emoji15]Sijambo za siku nyingi ila njoo nikupeti peti hata usiku mmoja usahau shida.
Mpaka Sasa Umempata Au Kuna Dalili Ya Kumpata......???
[emoji23] [emoji23] [emoji23]Wewe dogo unataka viboko eeeh
Kaa salama
Ha ha haaaaa
Umenikumbusha mwanzo wa mwaka huu eeeeh
Eti wadogo wangu ha ha haaaaaaaaaa
Sasa kwasababu unaninukuu mimi.naona upo kama unavyoniita.. najua huwezi kaa bila kuninukuu nakupa miezi 6 basi.tulia nisahau..
Lingine sitafuti mume.. naburudika maana wengi humu wananisema sina mume.. nikitaka mume nitakuja kwako kwanza.π
Hahahaha....umenikumbusha mvali sana.Ptyuuuh mbaka!
Wap huko mkuu?Hahahaha....umenikumbusha mvali sana.
Kilima kwaru...Wap huko mkuu?
WANAWAKE WAKAPOTEA WOTE DUNIANI UKABAKI WEWE BADO SITAKUOA.
Ukikosa Kabisa Kabisa Kuna Babu Yangu Wa Msoga Wa KibahaEeeeeh yaani imebidi nicheke
Ungesoma tena na tena post #1 ungeelewa huu uzi nink dhumuni lake.
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2][emoji23] [emoji23] [emoji23]
Hata kama mdogo ila nauwezo wa kufeel cocochanel
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Na wewe unamfukuzia coco!!![emoji15] [emoji15]
Bana embu njooo uku tuyajenge !!!.Loooo na wewe ha ha haaaaaa
Kaa huku na mavazi yako yote lazima ni rangi tatu tu zile.
carbamazepine hapa ataniua kwa kweli acha nilikuwa namsalimia tu coco.[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
Carba njoo uone
Ha ha haaaaaaaaaa
Basi mimi na wewe tukutane tujitolee kwenda kujenga zile ofisi za waalimu wa Dar.. tutumie saa moja tu nasi tupokee baraka na biz yako nitakusaidia kuitangaza hukoπ