You can say that again and again and again! Kaizer nimemwachia mtalaka wangu Smiles....ndio uzuri wa sheria yetu namba 3....Kizuri....?
(Hivi hapo JJ umeshaweka order ya KIti MOto mweka hazina?)
:biggrin1::biggrin1:
hommie itakuja kukucost hiyo....ohooo:shut-mouth:
You can say that again and again and again! Kaizer nimemwachia mtalaka wangu Smiles....ndio uzuri wa sheria yetu namba 3....Kizuri....?
Wiselady unataka nibadili mawazo juu yako?:A S kiss::A S kiss::A S kiss::A S-heart-2::A S-heart-2::A S-heart-2:😛reggers:😛reggers:😛reggers:
(Hivi hapo JJ umeshaweka order ya KIti MOto mweka hazina?)
:biggrin1::biggrin1:
Yakikuzidi utasema tu! Hommie unamsikia huyu? Eti hasemi? Ukiamua hatasema?Mwache ajifanye mjanja...
And the way I know wise...
Mi sisemi!!
Ila hii mobile ya Smiles iko fast...ni Blackberry 9700 nini? dah
Smiles nimecheka sana, anasema amekupa talaka lkn sidhani kama atavumilia kuikosa avatar yako,,,lolSasa bahati mbaya sheria namna tatu hai-apply kwako... Kwa maana una kazi ya kufukuzia tuu kila siku hadi umechoka maskini! Kwa mwendo wako huo sasa hiyo infidelity unafanyaje?? :confused2: mbona zero kabisa...
Yakikuzidi utasema tu! Hommie unamsikia huyu? Eti hasemi? Ukiamua hatasema?
Smiles nimecheka sana, anasema amekupa talaka lkn sidhani kama atavumilia kuikosa avatar yako,,,lol
hommie itakuja kukucost hiyo....ohooo:shut-mouth:
Yakikuzidi utasema tu! Hommie unamsikia huyu? Eti hasemi? Ukiamua hatasema?
shkang,
ukimuona kaka yangu mwambie wifi mama matesha kanituma nije nimtafute huku.
anatakiwa nyumbani haraka,achukue boda boda nitalipa.
Mmh...
JJ...?? Nimeskia vizuri au??!!!
Hahahah....
Simuoni ni muda toka ameaga kwenda toilet, kumbe amerudi nyumbani! kweli infiii kazi!akija cjui atanidanganya nini!Haaa.... Kwani unamuona anachofanya huko?!
Maana yuko busy na PM yangu:mad2:
Simuoni ni muda toka ameaga kwenda toilet, kumbe amerudi nyumbani! kweli infiii kazi!akija cjui atanidanganya nini!
Mh! Smiles kanitulia zigo lililomshinda,mwambie naomba kuwajoin walau nami nismilealuu tuko busy na SMILES>>>>tunasmile tu na kuguna:biggrin1:
Salaam zenu jama.....
Khe!makubwa yepi tena Ujengelele?kwani wewe hujawai kuwa macho uchi?:biggrin1:
miezi yote hiyo smiles watu si watakufa na ukame..eeh!!DC hii ni kwa ushauri wa daktari na ni MUHIMU kuzingatia...
3 solid months before delivery and 3 solid months after delivery ili mtoto akue na afya nzuri...