The Finest
JF-Expert Member
- Jul 14, 2010
- 21,605
- 6,092
sikujua kama wewe ni mcheza shoo mzuri namna hii! Hebu nisaidie kumuuliza kajukuu, kwanini jana alitutekeleza mazima?
Bila Shaka unamaanisha huo wimbo!!
...............lol sasa hapa unamchakachua mzima The Finest.... Babu yangu atakudai Starlet toka Ujerumani.
.......Kwa sababu hamkujua kubembeleza kwa upendo wala kuliwaza kwa vitendo loh
sikujua kama wewe ni mcheza shoo mzuri namna hii! Hebu nisaidie kumuuliza kajukuu, kwanini jana alitutekeleza mazima?
Uzuri ni kwamba hatukulivua pendo. Utake usitake, utapendwa tu.
Usisahau mie ni Note Taker wa Bibi yangu yaani mkewe Babu atiNafikiri lawama zitaenda kwako babu maana inawezekana hauku:A S 101::A S 101:maana mjukuu anaogopa kumuanza babu ila nahisi kama mjukuu wako alikuwa amekaa sehemu anatuchora tu
Ehee!!!!!!!!!!!!!!!Uzuri ni kwamba hatukulivua pendo. Utake usitake, utapendwa tu.
Na vile alikuwa introduced kama Inv kaaaazi kweli kweliiMJ1 taratibu babu yako namuogopa anaweza akanipiga :ban:halafu mambo yakaharibika
Ehee!!!!!!!!!!!!!!!
Na vile alikuwa introduced kama Inv kaaaazi kweli kwelii
Hebu bwana acha hizo The Finest .......unajua hii inakinzana na Sheria mama namba 3 ya chama chenu!! unatakiwa ushee siri hakunaUmenikumbusha kitu na huo msemo dah....leo sijui kwanini nakuwa msiri sana
Mh you might be raiti.............
Acid naomba nisaidie hapa naona nakuwa komfyuzidi...
Infii na nyumba ndogo ipi ni product ya uchakachuzi?
Sabalkheri wananchi...
Hebu bwana acha hizo The Finest .......unajua hii inakinzana na Sheria mama namba 3 ya chama chenu!! unatakiwa ushee siri hakuna
Mimi babu yenu :tape::tape::tape::tape::tape:Hebu bwana acha hizo The Finest .......unajua hii inakinzana na Sheria mama namba 3 ya chama chenu!! unatakiwa ushee siri hakuna
Mimi babu yenu :tape::tape::tape::tape::tape:
But I think nyumba ndogo is more respectable than Infii---- basing on sheria namba 3. em Ai rongi?hakuna inayochakachuliwa, kuchakachua ni ku-adulterate... lakini infi... mama anapewa kitu pure, na nyumba ndogo/kubwa anapewa kitu pure... kila mmoja kwa wakati wake na heshima yake
Cha maana siku zote ni kuelewa your limits