Da Womanizer
JF-Expert Member
- May 24, 2010
- 1,577
- 150
Hivi eeeeeeeeh??????????Habari jirani!
Me naomba unifafanulie kutokana na uzoefu wako hivi kwa nini mwanaume akinyimwa biolojia anaweza hata kulia?
Me naomba unifafanulie kutokana na uzoefu wako hivi kwa nini mwanaume akinyimwa biolojia anaweza hata kulia?
Hahahahaha..........sina la kujitetea hapa.
The Finest naye mchakachuaji tu Roya... wewe tu peke yako u msafi karibu kiti hapa IPC
Fidel bana..........................Yaani kuna misuli inabana kweli kweli kwa hiyo inakulazimu uende ukamalizie na penzi binafsi kiaina.
Kumbuka huu ni ukatiri wa hali ya juu hata UN inakataza kumnyima mwenzio Bailojia fikiria wewe unapo karibia kumaliza tendo alafu mwanaume anakukatisha tunaita anachomoa si unaweza mchukia milele huyo mwanaume? Imewahi kukutokea?
Habari jirani!
Me naomba unifafanulie kutokana na uzoefu wako hivi kwa nini mwanaume akinyimwa biolojia anaweza hata kulia?
Fidel bana..........................
Yaani kuna misuli inabana kweli kweli kwa hiyo inakulazimu uende ukamalizie na penzi binafsi kiaina.
Kumbuka huu ni ukatiri wa hali ya juu hata UN inakataza kumnyima mwenzio Bailojia fikiria wewe unapo karibia kumaliza tendo alafu mwanaume anakukatisha tunaita anachomoa si unaweza mchukia milele huyo mwanaume? Imewahi kukutokea?
Hahaha mambo ya mkuno bana sijui kwa nn Mungu aliweka Tunda hilo liwe tamu kuliko matunda yote
Hiyo avatar yako inaonesha huwa unapiga hesabu sana wakati wa kumega weweHahaha mambo ya mkuno bana sijui kwa nn Mungu aliweka Tunda hilo liwe tamu kuliko matunda yote
kumbe !
Watu mnajua timing duh.... kama mnachinja kobeOfkoz....:A S 8::A S 8:...ukizingatia kesho mapumziko.....
Nikilia nabembelezwa kwa upendo,
naye akinuna namliwaza kwa vitendo
Je wewe ushawahi kubembelezwa,
mwenzio mimi nishawahi kubembelezwa nadekezwa........... ah ah nabembelezwaa ah
By Barnaba THT.
Hivi kuna mapenzi ya hivi kweli au ni nyimbo tu?
Sijui kwa vile kesho ni sikukuu basi leo naiona kama ijmaa vile ah :sick::sick::sick::smow:
MJ1... hayo mambo yapo, lakini kama life ilivyo.. si kila wakati ukilia basi utabembelezwa, na si kila wakati ukinuna unaliwazwa
huwezi lia kijingajinga ati mtu aache kazi zake aje abembeleze, hata mtoto wa pekee hafanyiwi hivyo, huwezi nuna tu kisa gubu basi jamaa hilo kupetipeti, hata bubu akinuna sana anapotezewa
the song is romantic and i am sure it is relevant in ambient environment
Mwanza City... Villa park munching some samaki joo'''Cousin location?
Fidel leo umeua best loh...Sikujua kama wewe u mpigania haki mahiri kiasi hiki.Yaani kuna misuli inabana kweli kweli kwa hiyo inakulazimu uende ukamalizie na penzi binafsi kiaina.
Kumbuka huu ni ukatiri wa hali ya juu hata UN inakataza kumnyima mwenzio Bailojia fikiria wewe unapo karibia kumaliza tendo alafu mwanaume anakukatisha tunaita anachomoa si unaweza mchukia milele huyo mwanaume? Imewahi kukutokea?
Aksante kamandaMJ1... hayo mambo yapo, lakini kama life ilivyo.. si kila wakati ukilia basi utabembelezwa, na si kila wakati ukinuna unaliwazwa
huwezi lia kijingajinga ati mtu aache kazi zake aje abembeleze, hata mtoto wa pekee hafanyiwi hivyo, huwezi nuna tu kisa gubu basi jamaa hilo kupetipeti, hata bubu akinuna sana anapotezewa
the song is romantic and i am sure it is relevant in ambient environment
Hiyo avatar yako inaonesha huwa unapiga hesabu sana wakati wa kumega wewe
Mwanza City... Villa park munching some samaki joo'''
Unajua Asprini alisoma shule moja iitwayo Matemboni wenyewe wanaita Matembonyi sule ya msingi na sekondari akasoma Kolila O level na A level Old Moshi sasa hajui tofauti ya kubembeleza na kuliwaza ah!!sijui hiyo ndo Asprin ameiita kuwa ni kuliwaza........................... mi sijui!