Jamani...Nauliza tu

Jamani...Nauliza tu

Me naomba unifafanulie kutokana na uzoefu wako hivi kwa nini mwanaume akinyimwa biolojia anaweza hata kulia?

Yaani kuna misuli inabana kweli kweli kwa hiyo inakulazimu uende ukamalizie na penzi binafsi kiaina.

Kumbuka huu ni ukatiri wa hali ya juu hata UN inakataza kumnyima mwenzio Bailojia fikiria wewe unapo karibia kumaliza tendo alafu mwanaume anakukatisha tunaita anachomoa si unaweza mchukia milele huyo mwanaume? Imewahi kukutokea?
 
Hahahahaha..........sina la kujitetea hapa.

The Finest naye mchakachuaji tu Roya... wewe tu peke yako u msafi karibu kiti hapa IPC

Naona Roya anataka mambo ya kuingilia mikataba ya watu yeye mkataba wake umeisha kama wa TICTS lakini bado anataka kurenew tu
 
Yaani kuna misuli inabana kweli kweli kwa hiyo inakulazimu uende ukamalizie na penzi binafsi kiaina.

Kumbuka huu ni ukatiri wa hali ya juu hata UN inakataza kumnyima mwenzio Bailojia fikiria wewe unapo karibia kumaliza tendo alafu mwanaume anakukatisha tunaita anachomoa si unaweza mchukia milele huyo mwanaume? Imewahi kukutokea?
Fidel bana..........................
 
Habari jirani!

Me naomba unifafanulie kutokana na uzoefu wako hivi kwa nini mwanaume akinyimwa biolojia anaweza hata kulia?

Maty hebu jaribu kumnyima mwanaume biolojia ila itabidi umpate yule amabye hajazoea kuna mwingine ukimnyima anaona pao tu si anajua biolojia ziko nyingi kuna wengine ndio hao hawana uvumilivu wanamwaga chozi hebu tafuta mmoja umfanyie hivyo
 
Yaani kuna misuli inabana kweli kweli kwa hiyo inakulazimu uende ukamalizie na penzi binafsi kiaina.

Kumbuka huu ni ukatiri wa hali ya juu hata UN inakataza kumnyima mwenzio Bailojia fikiria wewe unapo karibia kumaliza tendo alafu mwanaume anakukatisha tunaita anachomoa si unaweza mchukia milele huyo mwanaume? Imewahi kukutokea?

Mwambie aende kenya aone wanaume wanavyoonewa wanavyonyimwa biolojia wakidai wanaambulia vipigo
 
Nikilia nabembelezwa kwa upendo,
naye akinuna namliwaza kwa vitendo

Je wewe ushawahi kubembelezwa,
mwenzio mimi nishawahi kubembelezwa nadekezwa........... ah ah nabembelezwaa ah

By Barnaba THT.

Hivi kuna mapenzi ya hivi kweli au ni nyimbo tu?

Sijui kwa vile kesho ni sikukuu basi leo naiona kama ijmaa vile ah :sick::sick::sick::smow:

MJ1... hayo mambo yapo, lakini kama life ilivyo.. si kila wakati ukilia basi utabembelezwa, na si kila wakati ukinuna unaliwazwa

huwezi lia kijingajinga ati mtu aache kazi zake aje abembeleze, hata mtoto wa pekee hafanyiwi hivyo, huwezi nuna tu kisa gubu basi jamaa hilo kupetipeti, hata bubu akinuna sana anapotezewa

the song is romantic and i am sure it is relevant in ambient environment
 
MJ1... hayo mambo yapo, lakini kama life ilivyo.. si kila wakati ukilia basi utabembelezwa, na si kila wakati ukinuna unaliwazwa

huwezi lia kijingajinga ati mtu aache kazi zake aje abembeleze, hata mtoto wa pekee hafanyiwi hivyo, huwezi nuna tu kisa gubu basi jamaa hilo kupetipeti, hata bubu akinuna sana anapotezewa

the song is romantic and i am sure it is relevant in ambient environment

Cousin location?
 
Yaani kuna misuli inabana kweli kweli kwa hiyo inakulazimu uende ukamalizie na penzi binafsi kiaina.

Kumbuka huu ni ukatiri wa hali ya juu hata UN inakataza kumnyima mwenzio Bailojia fikiria wewe unapo karibia kumaliza tendo alafu mwanaume anakukatisha tunaita anachomoa si unaweza mchukia milele huyo mwanaume? Imewahi kukutokea?
Fidel leo umeua best loh...Sikujua kama wewe u mpigania haki mahiri kiasi hiki.
 
MJ1... hayo mambo yapo, lakini kama life ilivyo.. si kila wakati ukilia basi utabembelezwa, na si kila wakati ukinuna unaliwazwa

huwezi lia kijingajinga ati mtu aache kazi zake aje abembeleze, hata mtoto wa pekee hafanyiwi hivyo, huwezi nuna tu kisa gubu basi jamaa hilo kupetipeti, hata bubu akinuna sana anapotezewa

the song is romantic and i am sure it is relevant in ambient environment
Aksante kamanda

THANKS ......kile kibatani sikioni skriini kwangu kikija ntakupatia.

Ni kweli usemayo usiombe kufall in love na mtu mwenye gubu...........utajuta
 
sijui hiyo ndo Asprin ameiita kuwa ni kuliwaza........................... mi sijui!
Unajua Asprini alisoma shule moja iitwayo Matemboni wenyewe wanaita Matembonyi sule ya msingi na sekondari akasoma Kolila O level na A level Old Moshi sasa hajui tofauti ya kubembeleza na kuliwaza ah!!

Asprin:

Kubembeleza kimapenzi ni kule kudekeza
kuliwaza ni kutoa faraja pale ambapo mwenzio kaghafilika!!
 
Back
Top Bottom