Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
Mwambie aende kenya aone wanaume wanavyoonewa wanavyonyimwa biolojia wakidai wanaambulia vipigo
Hahahaha dah kule mpwa jamaa wamezidi wanacho chama chao cha kutetea wanaume.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwambie aende kenya aone wanaume wanavyoonewa wanavyonyimwa biolojia wakidai wanaambulia vipigo
Watu mnajua timing duh.... kama mnachinja kobe
@FL1, Najua saa hii roho yako kwatuu!!!:A S 13:Kumbe !
Hahahaha dah kule mpwa jamaa wamezidi wanacho chama chao cha kutetea wanaume.
Si unajua kuna kawikiendi kafupi??
Nani asiyependa nafasi ya kukubembeleza?
Jamani mbona na nyie huwa mnatunyimaga? Au nyie mna haki ya kutunyima but sie hatuna haki ya kunyima??Unalala na mtu chumba kimoja tena na kitanda kimoja miezi mitatu haujapewa biolojia
Hapo ndio umemalizia kabisa, jitu lenye Gubu linaweza kufukuza marafiki, ndugu hata majiraniAksante kamanda
THANKS ......kile kibatani sikioni skriini kwangu kikija ntakupatia.
Ni kweli usemayo usiombe kufall in love na mtu mwenye gubu...........utajuta
You can say that loud again and again ah......... mi ctakiHapo ndio umemalizia kabisa, jitu lenye Gubu linaweza kufukuza marafiki, ndugu hata majirani
KIbaya zaidi gubu inapunguza hamu ya kuwa karibu na ku-enjoy intimacy
......Hahaha ila kusema ukweli janaume linalodeka kupita kiasi hata halipendezi ah.......mi ctaki
Hafsa aliimba
Mpenzi wangu mimi kweli nakupenda
Unajua ndo mana wanitesa
Sio siri honey wanipa presha, preshaa preshaaa
Waliozoea kubembelezwa sometimes wanatake advantage na matokeo yake ni presha ah.... ndo nsivyovitaka mie.
Jamani mbona na nyie huwa mnatunyimaga? Au nyie mna haki ya kutunyima but sie hatuna haki ya kunyima??
@FL1, Najua saa hii roho yako kwatuu!!!:A S 13:
Jamani mbona na nyie huwa mnatunyimaga? Au nyie mna haki ya kutunyima but sie hatuna haki ya kunyima??
DC ndio maana nikasema wahenga wangetuwekea tu wazi kuwa mapenzi ni usanii ukibahatika ni bahati yako kuliko sie tunakaa tunaingia kichwa kichwa kwenye mapenzi matokeo yake ndo haya ..... mioyo inapata kutu.Hapa ndipo wakati mwingine tatizo linapoanzia. Kuna wanaume wanadhani kwamba kazi ya kubembeleza ni ya jinsia nyingine kwa hiyo wanaogopa kuonekana kama wameikana jinsia yao!
MJ1,
Hii biashara ya mapenzi kwa ufupi ni COMPLEX, COMPLEX, COMPLEX......jana, leo na hata ukamilifu wa hii dunia!!
Ila mapenzi ya kisanii ni matamu sana na yanavutia kuliko maelezo ingawa siyo sustainable!
Jamani naelewa kabisa na nadhani haujakosea dia.Hivi unaujua ule usemi wa changu ni changu lakini chako ni chetu sote
Hafsa aliimba
Mpenzi wangu mimi kweli nakupenda
Unajua ndo mana wanitesa
Sio siri honey wanipa presha, preshaa preshaaa
Waliozoea kubembelezwa sometimes wanatake advantage na matokeo yake ni presha ah.... ndo nsivyovitaka mie.
Jamani mbona na nyie huwa mnatunyimaga? Au nyie mna haki ya kutunyima but sie hatuna haki ya kunyima??
.....sasa hayo si ndio mapenzi yenyewe!!Una mpenzi ili akubembeleze pale unapohitaji kubembelezwa, akudekeze na kukupa kile kitu moyo unataka pale unapohitaji.
Aksante DC afadhali umesema Mara nyingi ina maana kuna sometimes wapo ambao huwa wachoyo..... ila sema tu kwa vile wanaonaga kuwa ni haki yao wewe (utadhani wake zao hawana haki na hiyo fimbo) wanalalamaMara nyingi wanawake ndio wanawaanyima wanaume. Wameifanya hiyo kuchukua nafasi ya corporal punishment ya primary!!
that in red sounds too sexy... Sorry for being explicit:A S 13:You can say that loud again and again ah......... mi ctaki