Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
Kweli nilikumis usikubali kuzeeka
Mwenyewe nipo taabani juu yako
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kweli nilikumis usikubali kuzeeka
nilkuona pia lkn nilikuwa namuwahi Asprin:dance:
mbona nilikuita ukagoma?Mwenyewe nipo taabani juu yako
Raia, mi naona umwache tu huyu mtu sasa.....ingawa najua ni vigumu kiaina....
Mwenyewe nipo taabani juu yako
Haeleweki bwana labda niingie tuition:doh::doh:mbona jana Asprin siku nzima alikuwa kino BLOCK C kwa kikosi alikuwa ana :A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking::A S-smoking:
mbona nilikuita ukagoma?
Raia, mi naona umwache tu huyu mtu sasa.....ingawa najua ni vigumu kiaina....
Mkulu hizo tekniki zako yaani wewe unakuwa taabani juu na sio chini
Pope mwenyewe mbona aliacha za kwake akatoka?basi nxt tym uwe unaniambia mapemaNilikuwa nazitendea haki valuuu ningeziacha ingekuwa dhambi kubwa sana kuungama mpaka kwa Papa
Mkulu hizo tekniki zako yaani wewe unakuwa taabani juu na sio chini
Mkuu jana ulikumbuka wapi mzee Kambarage?
Mh! Finest Finest,usitake kumrudisha Fidel uvunguni na alishatoka pliiiiiz
Akiwa yuko chuda huwa asikii kabisa ila nimeambiwa jana Asprin naye alikuwa chuda
Hahaha mambo ya synoveti haya! Nashukuru kama ulifika salama!Kimey, Teamo pamoja na mimi tulikuwa kwenye kongamano la kujadili mustakabali wa JKN baada ya kifo chake taifa hadi sasa limefikia wapi ila si unajua kongamano bila vimiminika linakuwa halinogi mada zinakuwa hazishuki (valuu, konyagi, serengeti, castle lager, castle light zilihusika sana)
Halafu wewe kwa nn kila ukiwa guest unazima cm?Nilikuwa nazitendea haki valuuu ningeziacha ingekuwa dhambi kubwa sana kuungama mpaka kwa Papa
Hahaha mambo ya synoveti haya! Nashukuru kama ulifika salama!
Sasa na wewe hizo valuu zinakuharibu,ni Fidel au ni Asprin?
Mwenyewe nipo taabani juu yako
Mpwa nguvu za kucheki out nnazo basi zile castle za jana balaa! Muhudumu wa hi guest anansumbua nitoke! Nimemwambia anze usafi vyumba vingine bana!Posted via Mobile
Ha ha ha ha ha mpwa bado uko gesti tu hadi sasa haujafanya check out